Binafsi naamini serikali yetu inaweza jiendesha na ina watu wenye uwezo mkubwa sana.
Tatizo ni kwamba wanaopewa mamlaka au wanaonunua madaraka wanawanyima wenye uwezo wa kufanya maamuzi na kuchambua mawazo nafasi na ni kwa makusudi kabisa.
Wewe Kama mzalendo fanya kufuatilia mikataba ya DP then...
Hii homa imezuka hadi Ulaya..
si utani to be honest ni kali ilinishikia Amsterdam nilivyorudi nchi nnayoishi niliogopa nikajua ndo safari.
Kwasababu ilikua inabana sehemu zote za hewa haiskii dawa ya kupuliza wala chochote.
Tangawizi nilikula Kama chakula.
Mwishoni hadi makamasi yalitoka ya...
Me naona bora tu ameachiwa kwasababu washirika Wake hawapo hatiani na serikali haiwagusi kwani wapo juu ya sheria..
So It didn’t make sense kumshikilia mmoja na kuacha kundi lake. Nonsense!
Sheria ni upanga ingetaka kote kote, anyway wenye nchi waendelee kula tunu za Taifa.. wengine tuendelee...
It’s crazy yaani wanachanganya wanachama wenye kutaka mabadiliko ya kweli.
Ila Siasa ingeondoka dunia ingekua mahali salama kwa namna nyingine.. manake hao ndo waharibifu kuanzia amani, uchumi e.t.e
Ebu bana waombee nchi na watu Wake ambao wana njaa vyakula vimepanda bei na maisha duni zaidi kwa mtanzania wa chini.
Hawa mashoga wapo toka enzi na enzi kuongea sana Ni kuendelea kutoa promotion zao.
Kuna watu vijijini hata hawajui LGBT ni nini.
Haiongelewi Report ya CAG kutwa kuchwa...
Yeye ni Askofu ulitaka afanye nini?
Aanzishe maandamano au?
Kazi yake Ni kusema na wenye kuskia wafanyie kazi neno..
Kama ni mbwa utoke kwenye mnyororo na kama ni mfuga mbwa uanze kuhofia huyo mbwa unaemfungia.
Huyo Mwigulu anaenda wapi hakuna Rais hapo ni mshenzi mmoja.
Bora hata January kidoogo anajua nini siasa.
Ila upinzani wanatuchelewesha saana wanashindwaje kujiunga wote kikapatikana chama kimoja imara na kutoa Rais anaejielewa tukabadilisha huu utawala once and for all[emoji57]
Aaha wapi uandishi wako haujafanyia Research.. kuna watu wengi sana wenye akili na upeo wa hali ya juu..
Some of them hata shule hawajaenda au la wengine wapo kwenye hizo Office wanakua outshined na hao viongozi in short wanawafanyia kazi na wanaonekana si kitu ..
Tanzania bado kuna ukoloni...
Wabunge kupata wanapata ila kwa Rais inabidi waje na sera mpya ya kuwashawishi wananchi.
Kiuhalisia serikali mpya inabidi kupatikana ili kuondoa uongozi wa mazoea na nafasi za upendeleo kwa watu wasiokua na taaluma wala kua na uchungu na nchi.
Na kuungana vyama vya upinzani na kumsimamisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.