Raila Atishia kuendeleza maandamano iwapo Serikali haitasikiliza matakwa yake

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,021
1,609
Raila Odinga amesema wafuasi wa Azimio la Umoja waterejea katika #Maandamano iwapo Serikali ya Rais William Ruto itashindwa kuchukua hatua za haraka kupunguza gharama za maisha na kukaa nae katika mazungumzo

Tayari Rais #Ruto ametoa wito wa mazungumzo ya pande mbili Bungeni kuhusu kuundwa upya kwa Tume ya uchaguzi lakini hakugusia jinsi Serikali yake inanuia kukabiliana na gharama za maisha nchini humo, huku akisema kuwa hana nia ya Maridhiano na Upinzani

Hata hivyo #RailaOdinga amedai kuwa mchakato wa #Bunge hauwezi kushughulikia matatizo yao na kupendekeza kuundwa kwa timu maalumu kwa Mujibu wa Mkataba wa Kitaifa wa 2008, ambao ulisimamiwa na Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo #KoffiAnnan

..........

Odinga threatens more protests over Kenya talks row
Raila Odinga during interview with the BBC

Mr Odinga wants reform talks to be expanded beyond parliamentImage caption: Mr Odinga wants reform talks to be expanded beyond parliament

Kenya's opposition leader Raila Odinga has threatened to resume anti-government protests if President William Ruto's administration fails to address his concerns.

Mr Odinga on Monday suspended protests and agreed to hold talks with President Ruto.

Speaking on Tuesday, he said President Ruto's statement on Sunday, when he urged the former premier to call off the nationwide anti-government protests, did not capture demands made by the opposition.

President Ruto called for a bi-partisan engagement in parliament on the reconstitution of the electoral commission but did not touch on how his government intends to address the country's high cost of living.

Mr Odinga has demanded immediate steps by the government to lower the cost of living and President Ruto to expand their talks beyond parliament.

He said a parliamentary process may not address their concerns and proposes the formation of a team akin to the 2008 National Accord, which was brokered by the then UN chief Koffi Annan.

"We assure our people and Kenyans that our eyes are firmly on the ball, and reiterate that we shall go back to the people at the earliest sign of lack of seriousness by the other side," Mr Odinga said.

The opposition chief also claimed there were attempts to tamper with the electoral servers, which he demands to be forensically audited.

Speaking in Rwanda on Tuesday, President Ruto ruled out the possibility of any agreement that would co-opt the opposition into his government.

Mr Odinga had called for protests twice a week after rejecting the outcome of last year's election and criticising the government's handling of the cost-of-living crisis.

There were several clashes between police and young demonstrators.


Source: BBC
 
Aseme ukweli anachotaka ila la mfumuko wa bei ni duniani kote

Inabidi tupige kazi hata 3 sasa ili tulipe kila kitu
Nasema kila nchi tunapigwa vibaya kwa kupandishiwa bidhaa kila siku

Bei haiwezi kushuka kwa kuishinikiza serikali huo ni ujinga
 
Raila Odinga amesema wafuasi wa Azimio la Umoja waterejea katika #Maandamano iwapo Serikali ya Rais William Ruto itashindwa kuchukua hatua za haraka kupunguza gharama za maisha na kukaa nae katika mazungumzo

Tayari Rais #Ruto ametoa wito wa mazungumzo ya pande mbili Bungeni kuhusu kuundwa upya kwa Tume ya uchaguzi lakini hakugusia jinsi Serikali yake inanuia kukabiliana na gharama za maisha nchini humo, huku akisema kuwa hana nia ya Maridhiano na Upinzani

Hata hivyo #RailaOdinga amedai kuwa mchakato wa #Bunge hauwezi kushughulikia matatizo yao na kupendekeza kuundwa kwa timu maalumu kwa Mujibu wa Mkataba wa Kitaifa wa 2008, ambao ulisimamiwa na Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo #KoffiAnnan

..........

Odinga threatens more protests over Kenya talks row
Raila Odinga during interview with the BBC

Mr Odinga wants reform talks to be expanded beyond parliamentImage caption: Mr Odinga wants reform talks to be expanded beyond parliament

Kenya's opposition leader Raila Odinga has threatened to resume anti-government protests if President William Ruto's administration fails to address his concerns.

Mr Odinga on Monday suspended protests and agreed to hold talks with President Ruto.

Speaking on Tuesday, he said President Ruto's statement on Sunday, when he urged the former premier to call off the nationwide anti-government protests, did not capture demands made by the opposition.

President Ruto called for a bi-partisan engagement in parliament on the reconstitution of the electoral commission but did not touch on how his government intends to address the country's high cost of living.

Mr Odinga has demanded immediate steps by the government to lower the cost of living and President Ruto to expand their talks beyond parliament.

He said a parliamentary process may not address their concerns and proposes the formation of a team akin to the 2008 National Accord, which was brokered by the then UN chief Koffi Annan.

"We assure our people and Kenyans that our eyes are firmly on the ball, and reiterate that we shall go back to the people at the earliest sign of lack of seriousness by the other side," Mr Odinga said.

The opposition chief also claimed there were attempts to tamper with the electoral servers, which he demands to be forensically audited.

Speaking in Rwanda on Tuesday, President Ruto ruled out the possibility of any agreement that would co-opt the opposition into his government.

Mr Odinga had called for protests twice a week after rejecting the outcome of last year's election and criticising the government's handling of the cost-of-living crisis.

There were several clashes between police and young demonstrators.


Source: BBC
Uwezo anao, huoni kawaambia wasiandamane wametulia, sasa subiri alianjishe...
 
Raila Odinga amesema wafuasi wa Azimio la Umoja waterejea katika #Maandamano iwapo Serikali ya Rais William Ruto itashindwa kuchukua hatua za haraka kupunguza gharama za maisha na kukaa nae katika mazungumzo

Tayari Rais #Ruto ametoa wito wa mazungumzo ya pande mbili Bungeni kuhusu kuundwa upya kwa Tume ya uchaguzi lakini hakugusia jinsi Serikali yake inanuia kukabiliana na gharama za maisha nchini humo, huku akisema kuwa hana nia ya Maridhiano na Upinzani

Hata hivyo #RailaOdinga amedai kuwa mchakato wa #Bunge hauwezi kushughulikia matatizo yao na kupendekeza kuundwa kwa timu maalumu kwa Mujibu wa Mkataba wa Kitaifa wa 2008, ambao ulisimamiwa na Mkuu wa Umoja wa Mataifa wakati huo #KoffiAnnan

..........

Odinga threatens more protests over Kenya talks row
Raila Odinga during interview with the BBC

Mr Odinga wants reform talks to be expanded beyond parliamentImage caption: Mr Odinga wants reform talks to be expanded beyond parliament

Kenya's opposition leader Raila Odinga has threatened to resume anti-government protests if President William Ruto's administration fails to address his concerns.

Mr Odinga on Monday suspended protests and agreed to hold talks with President Ruto.

Speaking on Tuesday, he said President Ruto's statement on Sunday, when he urged the former premier to call off the nationwide anti-government protests, did not capture demands made by the opposition.

President Ruto called for a bi-partisan engagement in parliament on the reconstitution of the electoral commission but did not touch on how his government intends to address the country's high cost of living.

Mr Odinga has demanded immediate steps by the government to lower the cost of living and President Ruto to expand their talks beyond parliament.

He said a parliamentary process may not address their concerns and proposes the formation of a team akin to the 2008 National Accord, which was brokered by the then UN chief Koffi Annan.

"We assure our people and Kenyans that our eyes are firmly on the ball, and reiterate that we shall go back to the people at the earliest sign of lack of seriousness by the other side," Mr Odinga said.

The opposition chief also claimed there were attempts to tamper with the electoral servers, which he demands to be forensically audited.

Speaking in Rwanda on Tuesday, President Ruto ruled out the possibility of any agreement that would co-opt the opposition into his government.

Mr Odinga had called for protests twice a week after rejecting the outcome of last year's election and criticising the government's handling of the cost-of-living crisis.

There were several clashes between police and young demonstrators.


Source: BBC

Babu jinga on the beat
Na siasa za Africa za majitaka
 
Raila anawatumia viabaya wananchi kwa maslah yake binafsi soon watamchoka
 
Back
Top Bottom