Recent content by maselengo

  1. maselengo

    Edo Kumwembe: Tofauti kati ya Trump na wazungu wengine

    Mimi pia nakuunga mkono edo ukweli huwa unauma lakini ukiambiwa kama ni mstaarabu lazima uwaze mara mbili .unaweza ukajirekebisha ila kwa nchi zetu kujirekebisha haipo ..wamekuwa wachumia tumbo mpaka kiongozi wa kitaifa kwetu bado huwa anawaza tumbo lake ...
  2. maselengo

    Wadau wa FOREX,mnamulikwa soon na serikali

    Utakatwa tuu kodi kazi itaendelea muache woga basi duh
  3. maselengo

    Sababu 10 za kuichagua CCM

    Kura yangu ipo wazi asubuhii kwa ccm
  4. maselengo

    Sababu 10 za kuichagua CCM

    Uko sawa kura yangu kwenye eneo langu ccm wanayo asubuhiiii
  5. maselengo

    RC Mghwira kuwachukulia hatua waliohusika na ubadhirifu wa kiwanda cha kahawa Moshi

    Nyumbu mkuuu watu wanajadili habari za maendeleo ya mkoa mzima wewe unahangaika na siasa ...hivi lisu ndio tanzania? Bila huyo alielazwa tz bado itakuwepo
  6. maselengo

    Miji 25 mikubwa (kwa idadi ya watu) Afrika ya Mashariki (Kenya, Uganda & Tanzania)

    Kahama ina idadi kubwa kuliko moshi? Haki ya mungu hakuna real data hapo
  7. maselengo

    Nauza mradi wa ufugaji wa nguruwe. Nipo Mwanza mjini

    Eneo la kufugia ni la kwako? Au umepanga?
  8. maselengo

    Dkt. Hussein Mwinyi ndie kiongozi mstaarabu kuliko yeyote Tanzania

    Ni mtoto wa rais wa awamu ya pili wa tz mzee ali hassan mwinyi
  9. maselengo

    Jipatie laptop kwa laki mbili tu

    Discount?
  10. maselengo

    Maajabu: Daraja la Furahisha Mwanza lajengwa kwa Bil 4.7, kumbuka hostel za UDSM zilijengwa kwa bil 10

    Ni daraja pamoja na upanuzi wa barabara acheni ushabiki wa kipuuzi namba hii nchi yetu sote kwa nini mnataka utawala ushindwe akishindwa tumrshindwa wote nyumbu nyie
  11. maselengo

    Zitto Kabwe: Takwimu za Pato la Taifa kwa robo iliyoishia Juni 2017 si sahihi, ZIMEPIKWA! (PDF attached)

    Sasa zitto mbona huyu uliekimbia nae kutoka chadema ameamua kuunga mkono jitihada za mzee magu unataka kutuambia hata huyu katibu wa wizara ya maji nae ni zuzu hajui anachoongea kuwa mzee magu 2020 atapata kura nyingi kutokana na kazi nzuri anayofanya ? Zitto hivi unakuwaje ulianzisha chama...
Back
Top Bottom