Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,961
- 13,590
Kwanza nikiri kwamba sijui chochote kuhusu uchumi.Ninavyofahamu mimi ni kwamba uchumi wa nchi unapokuwa mkubwa na ndivyo thamani ya pesa yako inavyokuwa kubwa/imara linapokuja swala la masoko.
Uchumi wa nchi ya Japan ni mkubwa mara nyingi kuliko uchumi wa kenya. Unapotaja nchi za viwanda unazitaja zile g8. Marekani, canada, italia, ujerumani, ufaransa, uingereza na japan. Haya ni mataifa yaliyoendelea kiviwanda na kiuchumi.
Wanauza sana bidhaa zao nje ya nchi (xport). Kenya kama nchi ya Africa nchi zinazoitwa dunia ya tatu ambayo uuzaji wake wa bidhaa nje ya nchi ni mdogo, sarafu yake inaonekana kuwa imara kuliko ile ya nchi ya japan ambayo uchumi wake ni mkubwakuliko ule wa kenya.
Hoja hapa ni uchumi mkubwa unasababisha sarafu ya nchi kuwa imara. Au ni kitu gani haswa kinaangaliwa kuipa thamani sarafu?
Cc: chige
Uchumi wa nchi ya Japan ni mkubwa mara nyingi kuliko uchumi wa kenya. Unapotaja nchi za viwanda unazitaja zile g8. Marekani, canada, italia, ujerumani, ufaransa, uingereza na japan. Haya ni mataifa yaliyoendelea kiviwanda na kiuchumi.
Wanauza sana bidhaa zao nje ya nchi (xport). Kenya kama nchi ya Africa nchi zinazoitwa dunia ya tatu ambayo uuzaji wake wa bidhaa nje ya nchi ni mdogo, sarafu yake inaonekana kuwa imara kuliko ile ya nchi ya japan ambayo uchumi wake ni mkubwakuliko ule wa kenya.
Hoja hapa ni uchumi mkubwa unasababisha sarafu ya nchi kuwa imara. Au ni kitu gani haswa kinaangaliwa kuipa thamani sarafu?
Cc: chige