Mchango wa uchumi sio sawa na bajeti... bajeti ya serikali ni sehemu tu ya uchumi na sio pato zima la taifa. Kuna sekta zina mchango wenye thamani kubwa zaidi ya bajeti ya serikali kwenye uchumi wa nchi!
Mambo yote ya imani ni utumwa... ukishaanza hakuna mwisho. Kuabudu ni utumwa mkubwa zaidi ya hiyo ishu ya lugha. Watoto huko madras wanateseka zaidi kwa ukatili wa vipigo na vitisho, vya hadithi za kaburi baada mauti, moto jehanam, dhambi kubebeshwa wazazi wao na vitisho vingine vya uongo...
Ukisema sio gambling unaanza uongo. Uwekezaji ambao hauna uzalishaji au utoaji huduma na huwezi kukadiria rejesho kwa msingi wa uchumi ni sawa na kubashiri. Kuuza na kununua huko unakosema wengine kwa lugha ngeni huita speculating, which really is gambling... hiyo mikakati(strategies) ya...
Ndio ushangae hapo Mpigadili Tz Kwanini mtu masikini akupe wewe dawa ya kutoka kwenye umasikini? Sio kawaida kwa mtu usiye na mahusiano ya moja kwa moja akupe tu siri ya mafanikio. Inabidi uwe na akili changa kuamini watu ni wema kiasi hicho.
Kimsingi, ukielewa anajitanganza na kudili na watu...
Hii biashara imepigwa marufuku kwenye baadhi ya nchi zilizokuwa zinaongoza kutoa taarifa na kuendesha kampuni za uwakala wa masoko ya fedha kama huko Israel. Nashauri yeyote anayetaka kujihusisha huko afanye utafiti wa kutosha na kuelewa sana. Akiona sehemu haelewi au lugha inamkata chenga...
Nionavyo mimi 25 bado sana. Mawazo hayo kawaida nadhani maana hata mimi niliyapitia nilipofika umri huo. Nilimaliza shahada ya kwanza nikiwa na 23 baada ya miaka mi2 mambo yalikuwa bado hivyo sana ukilinganisha na baadae. Usiwe na mtazamo hasi, piga moyo konde na endelea kupambana. Ukichanga...
Hamna wepesi kaka, tatizo kubwa sana hilo kwenye jamii yetu. Ila nina imani wanawake watachukua usukani na kuwa viongozi mambo ya kujilinda na kuzaa kwa kutegemea tu uwepo wa baba mtoto... bora wazae wakiwa tayari kwa lolote ili mtoto awe na kesho salama na uhakika zaidi.
Enough is an illusion. Ni kama kidonge tunameza baada ya kingine kujaza shimo la uzuni ndani ya kila mmoja wetu. Life is depressing, we make up things to make it interesting. One can fight to get to the top to only realize the climb was sweet and inevitably the summit is darkness. What, other...
One thing I hold in highest regard when contemplating about happiness is that it is always a fading thing like all other emotions. Life can be very simple but stressful, existence is the basis for unhappiness. We can chase materials in hope of happiness only for the emotion to instantly slip...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.