Ushauri: Nisaidieni namna Bora ya kutibu tatizo linalomuandama mama yangu

Habari wakuu poleni na majukumu mbalimbali ya Kila siku

Mama yanguamekumbwa na tatizo ambalo hata sisi binafsi kama watoto wake tumeshindwa kumuelewa

Labda nianze Kwa kusema mama ni mwathirika wa virusi vya ukimwi Kwa Muda mrefu na amekua akitumia vidonge vya ARVS Kwa Muda mrefu sana. kipindi cha nyuma tulikua tukiishi nae vizuri tu tukiwa wote nyumbani kabla ya sisi watoto wake kutawanyika Kila mmoja kuishi katika mji wake na familia yake (baba yetu alifariki Muda mrefu sana tangu mwaka 1994)

Sasa mnamo mwaka 2018 baada ya sisi watoto kutawanyika nyumbani tulimwacha mwenyewe pale nyumbani na ikawa tunamuhudumia Kwa matumizi ya hapa na pale,ilipofika mwezi wa 11 kuelekea mwezi wa 12 mwaka huo ndipo tatizo hili lilipoanza

Akawa anatuambia wanangu hapa nyumbani naona Kuna watu wanakuja wananifatilia wanataka kuniua Mimi siwaelewi tukawa tuna muuliza ni watu gani hao mbona sisi wakati tunaishi hapo hatukuwai kuwa na tatizo na mtu,akazidi kusisitiza kwamba Mimi siwezi kuendelea kuishi hapa naomba mje mnichukue

Basi dada yetu mkubwa ikabidi apange safari aende akamchukue mana yeye ndiye anaeishi nae karibu zaidi kuliko sisi wengine mana tupo mikoa ya mbali, baada ya kumchukua na kuanza kuishi nae lile tatizo likawa kama limemtoka la kuhisi watu wanamfatilia wanataka wamuue.... Bas ikaenda Kwa Muda kama wa mwaka mmoja hivi akadai anataka aende kijijini kukaa Kwa madai yake kwamba anataka kubadilisha mazingira haikua tatizo
Tukampeleka Kwa mama yetu mdogo nae alisema ngoja nijaribu kuishi nae mana mama mdogo ni mtu wa maombi sana kanisani masaa 24

Yaan tulivyompeleka kule ndo kama tukawa tumeongeza tatizo ikawa Kila Muda tunaambiwa kwamba mama yenu anataka kujinyonga ety amechoka kuishi anaona Kila mtu mbaya kwake Hana Nia njema juu yake ikawa ni kulalamika Kila Leo kwamba mama yenu mdogo ananichukia,mara watoto wake hawanieshimu yaani ikawa taflani

Mpaka kufikia hatua mamdogo kusema mje mumchukue mama yenu Mimi amenishinda inafikia hatua anataka ajinyongee nyumbani kwangu tena mbele ya watoto wangu Mimi Kwa kweli hapana

Dada ikabidi aende akamchukue amrudishe tena nyumbani kwake mana ni mama yetu hatuna namna inabidi tuishi nae hvyo hvyo
Sasa baada ya kumrudisha yaan ndo kama tatizo limezidi kua kubwa zaidi mpaka dada nae ameanza kuhofia juu ya uhai wake mana amekua ni mtu wa kulaumu Kila mtu hamna mtu anaefanya jema kwake imefikia hatua anadai sisi tunapanga njama za kumuua kwanza hatumthamini kitu ambacho sio kweli mbaya zaidi anadai Mimi Bora nife tu Sina nilichobakiza Dunian,wakati mwingine anaongea vitu havieleweki,avielezeki yaan
Amekua ni mtu wa kuwaza tuuuu Muda wote Yani halali usingizi,ni kama mtu mwenye uwoga
Muda mwingine anatukana mpaka watoto wa dada kwamba nao Wana njama za kutaka kumuua,Sasa unajiulizan watoto wadogo hawa akili ya namna hiyo waitolee wapi

Kifupi ni kama mtu aliyechanganyikiwa,analaumu Kila anaemuona mbele yake kwamba ni sababu ya yeye kua hivyo.
Sasa wakuu hii tatizo linaniumiza sana kichwa changu sijui tunafanyaje kutibu hili tatizo.mana kama ni kuombewa ameshaombewa sana tu tangu kule Kwa mamdogo lakini wapi Mambo yamekua magumu

Najiuliza uenda ni issue ya phycology tumtafutie wanasaikolojia wakae nae wazungumze nae sisi tulishaongea nae mara nyingi sana hamna kitu tumeambulia

Sasa ndugu zangu nimeleta kwenu mnishauri nifanyaje kutibu tatizo halilonalo mama angu
Sipendi awe kwenye hali hii inatuchanganya familia nzima hatuelewi la kufanya we are so confused Kwa kweli

Natanguliza shukrani wakuu
Suala la kusema mko mbali Hilo Sio sahihi. Nashauri kama kubadilisha mazingira ya mama yenu Pia kunaweza msaidia badla ya kubakia huko kijijini na maeneo jirani. Chukua jukumu la kuishi Naye, naamin itmsaidia, Pia mpeleke hospital, kanisan/msikitini, pia mko naye Muda wote muwe jiran Naye. Muulizen kipi anapenda.. hamkugundua mapema Kuwa upweke ndo umemfanya afikie hapo.

Yawezkana licha ya Hali yake Bado hamkuwa karib kivile. Pengine mlijal kutuma pesa kuliko kumfariji.
Ndo Muda wa kuwa katibu Naye, Kama una kazi chukua likizo kakae nae huko kijijini nga mwezi nzima halafu unakuja Naye mjin mama atajiskia vizur
 
Hataki siku hizi kwenda mwanzon alikua anaenda mwenyewe ila tulipoanza kuona hii hali uwa tunaenda tunamfatia dawa tunamletea nyumban
Hili ni tatizo pia, lazma ajikubal, ndo maana nasema mbadilishen mazingira, na siku ya dawa mnaenda Naye aendelee kuona na wengine aone kawaida. Beben jukumu Kwa mikono miwil. Endelen kupambna
 
Hallucination ni kitu cha kawaida kwa wagonjwa wanaotumia dawa kwa muda mrefu sana ... anaona na kusikia sautu ambazo hazipo.... hasa hizo LSD na baadae atahama stage na kuanza kupoteza kumbukumbu. Ni vyema mkamuona daktari wana weza kuamua kumbadilishia dawa na ushauri mwingine wa kitabibu na kisaikolojia.
Jamaa kamaliza kila kitu Hapa
 
Muwe nae karibu huyo, shida yake ni kuchangamana na watu, mumpigishe mastori ya hapa na pale apate kufurahi na nyinyi vyenginevyo mtamlisha midawa bure. Anatachohitaji ni ukaribu na upendo wa wanawe maana mzee kamuacha kitambo mnoo
 
Habari wakuu poleni na majukumu mbalimbali ya Kila siku

Mama yanguamekumbwa na tatizo ambalo hata sisi binafsi kama watoto wake tumeshindwa kumuelewa

Labda nianze Kwa kusema mama ni mwathirika wa virusi vya ukimwi Kwa Muda mrefu na amekua akitumia vidonge vya ARVS Kwa Muda mrefu sana. kipindi cha nyuma tulikua tukiishi nae vizuri tu tukiwa wote nyumbani kabla ya sisi watoto wake kutawanyika Kila mmoja kuishi katika mji wake na familia yake (baba yetu alifariki Muda mrefu sana tangu mwaka 1994)

Sasa mnamo mwaka 2018 baada ya sisi watoto kutawanyika nyumbani tulimwacha mwenyewe pale nyumbani na ikawa tunamuhudumia Kwa matumizi ya hapa na pale,ilipofika mwezi wa 11 kuelekea mwezi wa 12 mwaka huo ndipo tatizo hili lilipoanza

Akawa anatuambia wanangu hapa nyumbani naona Kuna watu wanakuja wananifatilia wanataka kuniua Mimi siwaelewi tukawa tuna muuliza ni watu gani hao mbona sisi wakati tunaishi hapo hatukuwai kuwa na tatizo na mtu,akazidi kusisitiza kwamba Mimi siwezi kuendelea kuishi hapa naomba mje mnichukue

Basi dada yetu mkubwa ikabidi apange safari aende akamchukue mana yeye ndiye anaeishi nae karibu zaidi kuliko sisi wengine mana tupo mikoa ya mbali, baada ya kumchukua na kuanza kuishi nae lile tatizo likawa kama limemtoka la kuhisi watu wanamfatilia wanataka wamuue.... Bas ikaenda Kwa Muda kama wa mwaka mmoja hivi akadai anataka aende kijijini kukaa Kwa madai yake kwamba anataka kubadilisha mazingira haikua tatizo
Tukampeleka Kwa mama yetu mdogo nae alisema ngoja nijaribu kuishi nae mana mama mdogo ni mtu wa maombi sana kanisani masaa 24

Yaan tulivyompeleka kule ndo kama tukawa tumeongeza tatizo ikawa Kila Muda tunaambiwa kwamba mama yenu anataka kujinyonga ety amechoka kuishi anaona Kila mtu mbaya kwake Hana Nia njema juu yake ikawa ni kulalamika Kila Leo kwamba mama yenu mdogo ananichukia,mara watoto wake hawanieshimu yaani ikawa taflani

Mpaka kufikia hatua mamdogo kusema mje mumchukue mama yenu Mimi amenishinda inafikia hatua anataka ajinyongee nyumbani kwangu tena mbele ya watoto wangu Mimi Kwa kweli hapana

Dada ikabidi aende akamchukue amrudishe tena nyumbani kwake mana ni mama yetu hatuna namna inabidi tuishi nae hvyo hvyo
Sasa baada ya kumrudisha yaan ndo kama tatizo limezidi kua kubwa zaidi mpaka dada nae ameanza kuhofia juu ya uhai wake mana amekua ni mtu wa kulaumu Kila mtu hamna mtu anaefanya jema kwake imefikia hatua anadai sisi tunapanga njama za kumuua kwanza hatumthamini kitu ambacho sio kweli mbaya zaidi anadai Mimi Bora nife tu Sina nilichobakiza Dunian,wakati mwingine anaongea vitu havieleweki,avielezeki yaan
Amekua ni mtu wa kuwaza tuuuu Muda wote Yani halali usingizi,ni kama mtu mwenye uwoga
Muda mwingine anatukana mpaka watoto wa dada kwamba nao Wana njama za kutaka kumuua,Sasa unajiulizan watoto wadogo hawa akili ya namna hiyo waitolee wapi

Kifupi ni kama mtu aliyechanganyikiwa,analaumu Kila anaemuona mbele yake kwamba ni sababu ya yeye kua hivyo.
Sasa wakuu hii tatizo linaniumiza sana kichwa changu sijui tunafanyaje kutibu hili tatizo.mana kama ni kuombewa ameshaombewa sana tu tangu kule Kwa mamdogo lakini wapi Mambo yamekua magumu

Najiuliza uenda ni issue ya phycology tumtafutie wanasaikolojia wakae nae wazungumze nae sisi tulishaongea nae mara nyingi sana hamna kitu tumeambulia

Sasa ndugu zangu nimeleta kwenu mnishauri nifanyaje kutibu tatizo halilonalo mama angu
Sipendi awe kwenye hali hii inatuchanganya familia nzima hatuelewi la kufanya we are so confused Kwa kweli

Natanguliza shukrani wakuu
Kabla sijamaliza kusoma, kinachomsumbua mama yenu ni msongo wa mawazo na upweke
 
Muwe nae karibu huyo, shida yake ni kuchangamana na watu, mumpigishe mastori ya hapa na pale apate kufurahi na nyinyi vyenginevyo mtamlisha midawa bure. Anatachohitaji ni ukaribu na upendo wa wanawe maana mzee kamuacha kitambo mnoo
Shukrani mkuu Kwa ushauri huu ubarikiwe
 
Nasikiaga mtu muathirika wa HIV huwa vitu vinapanda kichwani anakua kama chizi sio mzima, muda wote ni makasiriko, muda wote anaona anaonewa hasira nk sijui virus anaharibu brain au ni madawa anayotumia ila sina uhakika maana sijafanyie tafiti ya kisayansi
Inawezekana mana naiyona live Kwa mama yangu mzazi inatuvuruga sana tunakosa amani yaan make yeye anahisi kama sisi tunamtenga kitu ambacho sio kweli
 
Baada ya kusikia ushauri mwingi. Hili usifanye.
1. Mirembe HAIMUHUSU wala dawa za vichaa.
2. Sikia ushauri wa Extrovert, Mwanga mkali, NUMBER 10 na unaofanana na huo.
3. Hakikisheni anatumia dawa si kumletea lkn bora mpelekeni sio kwenda kumchukulia ili aonane na wataalam wampe kulingana na alivyo sasa.
4. Tunamuombea. Ikiwa ni mapenzi ya Mungu awe mzima siku si nyingi. Msifanye shiriki

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma huu uzi, from my lower understanding of Psychology naweza kuelezea hivi.

Kuna tatizo maarufu sana kwa watu wazima, linaitwa PARANOIA, ni tatizo la kiakili yaani "Hali ya juu ya kujishuku", hii hutokea kwa watu wazima wafuatao;

1. Wale ambao walifeli baadhi ya mambo katika maisha yao, na watu wengine wakawa wanajua 'Failures' zao. Mara nyingi hawa, huwa wanawindwa na mawazo ya majuto "Hallucinations" ambapo anahisi kama watu wengine pia wanamsema kama yeye anavyojuta. Hii inapelekea mtu kuona hakuna sababu ya kuendelea kuishi, kwa sababu maisha ni muingiliano (Interaction) kama unahisi wanaokuzunguka wanakusengenya, kuna haja gani kuishi? Ni rahisi mtu kutaka kujitoa uhai.

2. Wale wenye magonjwa ya kudumu; kwa uzoefu wangu, watu hawa pamoja na walemavu ni makundi yanayoongoza kuwa na shida hii (Paranoia); kwa kuwa hujitofautisha na wengine, hivyo husisi wametengwa, japo huenda ikawa kweli ama yeye ndiye akawa amejitenga (Self Isolation), ndio maana, ARVs hazikutosha kutatua shida yake kiafya, matibabu ya kihisia ni salama zaidi na ya kudumu, tunatibu hisia kupitia Muingiliano, ndio mana nikutoe kidogo kwenye mada, kama mkeo upo nae mbali, muingiliano hushuka, hisia hupotea, mapenzi pia yanakufa. Nagusia tu

Sasa basi, kitendo cha watoto wake wa kuzaa kuwa mbali, kunachochea kushuka kwa muingiliano, kushuka kwa hisia, hivyo kupoteza tumaini. No hope, no reason to live.

Kwa nini hasa asingizie wengine?

Turudi hapo hapo kwenye somo la Saikolojia, umeona hilo kundi namba moja? Yani watu wenye failures za maisha, sasa nikwambie hakuna anayekubali failures kirahisi ndungu yangu, ni hivi.

Timu ya mpira inaweza kucheza Fyongo, ikafungwa, ila haitakosa wa kumlaumu, naomba uelewe ni "Wa Kumlaumu" maana yake ni mtu, aidha refa, mchezaji ama hata kocha. Ndivyo ilivyo kwa mtu mwenye majuto, akianza kuyakataa, kitaalamu tunasema ana "Play, victim side" yaani yeye hujiweka kama mhanga wa shida anayopitia, ila mtu fulani ndiye lazima awe sababu.

Katika pita pita yako, uliwahi kusikia mzee yeyote anayeshinda kwenye vijiwe vya kahawa huko akasimulia historia yake ya shule akasema alikuwa wa mwisho darasani? Hapana, imekuwaje leo kawa hivo? Atamtafuta wa kumtupia lawama. Kitendo hiki, kwa kingereza kinajulikana kama PROJECTION DEFENSIVE MECHANISM

Ni nini haswa?

Ni hali ya kujilinda kutoka kwenye makosa/majuto ama lawama, kwa kumuona mwengine kama sababu ya shida yako.

Je mama yako anayo?
Jibu ni NDIO, anahisi kutengwa, jiulize, aseme anataka kuuliwa kwa lipi? Kitendo cha kuhisi kutengwa kinamfanya ajihisi kama mnasema/mnamsimanga/ ama mnamuonea kinyaa, hilo ndio PARANOIA bwana , anatumia njia ya Projection, ili siku kwa bahati mbaya (Siombei) akiaga dunia, msije mkazungumzia hali yake (UKIMWI) bali ugomvi wake na mtu fulani, kwa sababy ikiwa hivo, ni aibu, kama ujuavyo ugonjwa wenyewe kwenye jamii yetu unavyochukuliwa.

MFANYE NINI?
Kabla ya kuhangaika na Watabibu wa akili, ninyi ndio mnapaswa kuwa watabibu wa kwanza (Kumbuka ulisema hali yake kabla hamjaondoka) kaeni na mama yenu, ikiwa mna familia zenu, fanyeni ratiba ya kila siku moja ya wiki muwepo woote, mkae nae, mle nae, stori n.k. hakikisha hamzungumzii masuala yenye kutia huzuni huko, sio mnaanza stori za marehemu bibi yenu wa Kibaigwa, hapana, ni mwendo wa kujichekelesha.

Halafu; kama ulivyotuletea ombi hili la ushauri, utuletee na mrejesho baada ya kufanya hivi.

Mwl. Diwani
 
Habari wakuu poleni na majukumu mbalimbali ya Kila siku

Mama yanguamekumbwa na tatizo ambalo hata sisi binafsi kama watoto wake tumeshindwa kumuelewa

Labda nianze Kwa kusema mama ni mwathirika wa virusi vya ukimwi Kwa Muda mrefu na amekua akitumia vidonge vya ARVS Kwa Muda mrefu sana. kipindi cha nyuma tulikua tukiishi nae vizuri tu tukiwa wote nyumbani kabla ya sisi watoto wake kutawanyika Kila mmoja kuishi katika mji wake na familia yake (baba yetu alifariki Muda mrefu sana tangu mwaka 1994)

Sasa mnamo mwaka 2018 baada ya sisi watoto kutawanyika nyumbani tulimwacha mwenyewe pale nyumbani na ikawa tunamuhudumia Kwa matumizi ya hapa na pale,ilipofika mwezi wa 11 kuelekea mwezi wa 12 mwaka huo ndipo tatizo hili lilipoanza

Akawa anatuambia wanangu hapa nyumbani naona Kuna watu wanakuja wananifatilia wanataka kuniua Mimi siwaelewi tukawa tuna muuliza ni watu gani hao mbona sisi wakati tunaishi hapo hatukuwai kuwa na tatizo na mtu,akazidi kusisitiza kwamba Mimi siwezi kuendelea kuishi hapa naomba mje mnichukue

Basi dada yetu mkubwa ikabidi apange safari aende akamchukue mana yeye ndiye anaeishi nae karibu zaidi kuliko sisi wengine mana tupo mikoa ya mbali, baada ya kumchukua na kuanza kuishi nae lile tatizo likawa kama limemtoka la kuhisi watu wanamfatilia wanataka wamuue.... Bas ikaenda Kwa Muda kama wa mwaka mmoja hivi akadai anataka aende kijijini kukaa Kwa madai yake kwamba anataka kubadilisha mazingira haikua tatizo
Tukampeleka Kwa mama yetu mdogo nae alisema ngoja nijaribu kuishi nae mana mama mdogo ni mtu wa maombi sana kanisani masaa 24

Yaan tulivyompeleka kule ndo kama tukawa tumeongeza tatizo ikawa Kila Muda tunaambiwa kwamba mama yenu anataka kujinyonga ety amechoka kuishi anaona Kila mtu mbaya kwake Hana Nia njema juu yake ikawa ni kulalamika Kila Leo kwamba mama yenu mdogo ananichukia,mara watoto wake hawanieshimu yaani ikawa taflani

Mpaka kufikia hatua mamdogo kusema mje mumchukue mama yenu Mimi amenishinda inafikia hatua anataka ajinyongee nyumbani kwangu tena mbele ya watoto wangu Mimi Kwa kweli hapana

Dada ikabidi aende akamchukue amrudishe tena nyumbani kwake mana ni mama yetu hatuna namna inabidi tuishi nae hvyo hvyo
Sasa baada ya kumrudisha yaan ndo kama tatizo limezidi kua kubwa zaidi mpaka dada nae ameanza kuhofia juu ya uhai wake mana amekua ni mtu wa kulaumu Kila mtu hamna mtu anaefanya jema kwake imefikia hatua anadai sisi tunapanga njama za kumuua kwanza hatumthamini kitu ambacho sio kweli mbaya zaidi anadai Mimi Bora nife tu Sina nilichobakiza Dunian,wakati mwingine anaongea vitu havieleweki,avielezeki yaan
Amekua ni mtu wa kuwaza tuuuu Muda wote Yani halali usingizi,ni kama mtu mwenye uwoga
Muda mwingine anatukana mpaka watoto wa dada kwamba nao Wana njama za kutaka kumuua,Sasa unajiulizan watoto wadogo hawa akili ya namna hiyo waitolee wapi

Kifupi ni kama mtu aliyechanganyikiwa,analaumu Kila anaemuona mbele yake kwamba ni sababu ya yeye kua hivyo.
Sasa wakuu hii tatizo linaniumiza sana kichwa changu sijui tunafanyaje kutibu hili tatizo.mana kama ni kuombewa ameshaombewa sana tu tangu kule Kwa mamdogo lakini wapi Mambo yamekua magumu

Najiuliza uenda ni issue ya phycology tumtafutie wanasaikolojia wakae nae wazungumze nae sisi tulishaongea nae mara nyingi sana hamna kitu tumeambulia

Sasa ndugu zangu nimeleta kwenu mnishauri nifanyaje kutibu tatizo halilonalo mama angu
Sipendi awe kwenye hali hii inatuchanganya familia nzima hatuelewi la kufanya we are so confused Kwa kweli

Natanguliza shukrani wakuu
Pole kwa kuuguza,
Ni vyema kufika hospitali na kuhusisha vitengo viwili:

1: Afya ya akili(kuangalia hali yake kwa undani, yawezekana kuna zaidi ya ulichokiona binafsi).

2: Kitengo cha CTC(kuangalia hali yake ya ugonjwa vs aina ya dawa anazotumia kama zaweza kuhusika).

3: Mama asiwe/asibatizwe jina kuwa ni kichaa bali tatizo la afya ya akili na wanaomzunguka, hasa ndugu. Itamsaidia kujikubali.

4: Mwenendo wa kimaisha: kuishi peke yake au anaoishi nao wanashirikiana nae kwa kiasi gani na wanampa ushirikiano kwa kiasi gani. Kwa umri wake, anajihusisha na nini? Ushiriki wake katika masuala ya dini vs jamii.
 
Alishapelekwa akapewa vidonge alipofika nyumbani akavitupa anadai yeye Hana tatizo la akili,yeye sio kichaa
Hivyo vidonge alitakiwa apewe kwa nguvu au kwa Siri hata kwenye juisi ilimuradi muhakikishe anatumia hizo dawa huwa zinawapa usingizi wanapata muda wa kupumzika, mpaka anapona.
 
Mungu amfanyie Mama yetu wepesi ila muwe mnajitahidi hata kumpigia simu kila baada ya masaa kadhaa.Vilevile kama mtampeleka Mirembe inaweza kuwa bora zaidi na msisahau kumpelela kwenye maombi!
 
Habari wakuu poleni na majukumu mbalimbali ya Kila siku

Mama yanguamekumbwa na tatizo ambalo hata sisi binafsi kama watoto wake tumeshindwa kumuelewa

Labda nianze Kwa kusema mama ni mwathirika wa virusi vya ukimwi Kwa Muda mrefu na amekua akitumia vidonge vya ARVS Kwa Muda mrefu sana. kipindi cha nyuma tulikua tukiishi nae vizuri tu tukiwa wote nyumbani kabla ya sisi watoto wake kutawanyika Kila mmoja kuishi katika mji wake na familia yake (baba yetu alifariki Muda mrefu sana tangu mwaka 1994)

Sasa mnamo mwaka 2018 baada ya sisi watoto kutawanyika nyumbani tulimwacha mwenyewe pale nyumbani na ikawa tunamuhudumia Kwa matumizi ya hapa na pale,ilipofika mwezi wa 11 kuelekea mwezi wa 12 mwaka huo ndipo tatizo hili lilipoanza

Akawa anatuambia wanangu hapa nyumbani naona Kuna watu wanakuja wananifatilia wanataka kuniua Mimi siwaelewi tukawa tuna muuliza ni watu gani hao mbona sisi wakati tunaishi hapo hatukuwai kuwa na tatizo na mtu,akazidi kusisitiza kwamba Mimi siwezi kuendelea kuishi hapa naomba mje mnichukue

Basi dada yetu mkubwa ikabidi apange safari aende akamchukue mana yeye ndiye anaeishi nae karibu zaidi kuliko sisi wengine mana tupo mikoa ya mbali, baada ya kumchukua na kuanza kuishi nae lile tatizo likawa kama limemtoka la kuhisi watu wanamfatilia wanataka wamuue.... Bas ikaenda Kwa Muda kama wa mwaka mmoja hivi akadai anataka aende kijijini kukaa Kwa madai yake kwamba anataka kubadilisha mazingira haikua tatizo
Tukampeleka Kwa mama yetu mdogo nae alisema ngoja nijaribu kuishi nae mana mama mdogo ni mtu wa maombi sana kanisani masaa 24

Yaan tulivyompeleka kule ndo kama tukawa tumeongeza tatizo ikawa Kila Muda tunaambiwa kwamba mama yenu anataka kujinyonga ety amechoka kuishi anaona Kila mtu mbaya kwake Hana Nia njema juu yake ikawa ni kulalamika Kila Leo kwamba mama yenu mdogo ananichukia,mara watoto wake hawanieshimu yaani ikawa taflani

Mpaka kufikia hatua mamdogo kusema mje mumchukue mama yenu Mimi amenishinda inafikia hatua anataka ajinyongee nyumbani kwangu tena mbele ya watoto wangu Mimi Kwa kweli hapana

Dada ikabidi aende akamchukue amrudishe tena nyumbani kwake mana ni mama yetu hatuna namna inabidi tuishi nae hvyo hvyo
Sasa baada ya kumrudisha yaan ndo kama tatizo limezidi kua kubwa zaidi mpaka dada nae ameanza kuhofia juu ya uhai wake mana amekua ni mtu wa kulaumu Kila mtu hamna mtu anaefanya jema kwake imefikia hatua anadai sisi tunapanga njama za kumuua kwanza hatumthamini kitu ambacho sio kweli mbaya zaidi anadai Mimi Bora nife tu Sina nilichobakiza Dunian,wakati mwingine anaongea vitu havieleweki,avielezeki yaan
Amekua ni mtu wa kuwaza tuuuu Muda wote Yani halali usingizi,ni kama mtu mwenye uwoga
Muda mwingine anatukana mpaka watoto wa dada kwamba nao Wana njama za kutaka kumuua,Sasa unajiulizan watoto wadogo hawa akili ya namna hiyo waitolee wapi

Kifupi ni kama mtu aliyechanganyikiwa,analaumu Kila anaemuona mbele yake kwamba ni sababu ya yeye kua hivyo.
Sasa wakuu hii tatizo linaniumiza sana kichwa changu sijui tunafanyaje kutibu hili tatizo.mana kama ni kuombewa ameshaombewa sana tu tangu kule Kwa mamdogo lakini wapi Mambo yamekua magumu

Najiuliza uenda ni issue ya phycology tumtafutie wanasaikolojia wakae nae wazungumze nae sisi tulishaongea nae mara nyingi sana hamna kitu tumeambulia

Sasa ndugu zangu nimeleta kwenu mnishauri nifanyaje kutibu tatizo halilonalo mama angu
Sipendi awe kwenye hali hii inatuchanganya familia nzima hatuelewi la kufanya we are so confused Kwa kweli

Natanguliza shukrani wakuu
Kule kwa mamamdogo kulikuwa sehemu sahihi sana endapo mamamdogo angechukua jukumu la kumshirikisha kanisani muda wote awapo huko ili naye azoeane na kujenga urafiki na watu wengine. Kanisani angesali, kuimba(muhimu katika kutuliza na kuburudusha akili) na angeshiriki kwenye shughuri za kinamama.
Hata hivyo jaribuni sana kutomuacha nyumbani kwa muda mrefu, mchukueni kwenye matembezi ya marakwamara.
 
Omulasil mkuu ume conclude vizuri lakini muomba ushauri bado anahitaji maelezo marefu au anayopenda kuyasikia.
Dawa za muda mrefu au ugonjwa ambao huna uhakika kwamba ipo siku utapona na kuachana nao kabisa husabisha athari nyingi za kisaikolojia na kiafya.
Kisaikolojia kuna makundi zaidi ya 16 ya athari hapa ntayasema machache ntaanza na Phobias hii ni aina ya hofu na wasiwasi wa kiwango cha juu sana.. ambacho husabishwa na uoga unaopata wa shida inayokukabili na huna wazo tofauti la kukubali au kukabili hali unayopitia. Hivyo unapata wasiwasi na hofu kwanza kwako mwenyewe lakini na jamii inayokuzunguka kwamba wanamchukuliaje mtu mwenye tatizo kama lako. Ukweli kwa jamii nyingi mwathirika wa HIV huonekana alipata maambukizi kwa sababu uwenda alikuwa mzinifu sana kitu ambacho si kweli kwa 100% na hali hiyo huwasumbua waathirika na kuwaondolea kujiamini mbele ya jamii.

Mbili Bipolar hii huwapata watu kwa kuwa na furaha kali (mtu anafurahi mpaka anatetemeka au kulia sana kupita kiasi au hasira kali kupita kiasi) hapa hutegemea mazingira ni yapi kwa wagonjwa inakuwa ni hasira kali kupita kiasi mfano mama alipata maambukizi toka kwa baba au mtu ambaye anaendelea kumlaumu wakati hayupo na hasira yake anakuwa nayo bila kuishirikisha hapo tutarajie damage to the state of mind. Shida ya kuwa mkali kama substution ya hasira yake huanza kujitokeza kwa waliomzunguka.... itaendelea
 
Habari wakuu poleni na majukumu mbalimbali ya Kila siku

Mama yanguamekumbwa na tatizo ambalo hata sisi binafsi kama watoto wake tumeshindwa kumuelewa

Labda nianze Kwa kusema mama ni mwathirika wa virusi vya ukimwi Kwa Muda mrefu na amekua akitumia vidonge vya ARVS Kwa Muda mrefu sana. kipindi cha nyuma tulikua tukiishi nae vizuri tu tukiwa wote nyumbani kabla ya sisi watoto wake kutawanyika Kila mmoja kuishi katika mji wake na familia yake (baba yetu alifariki Muda mrefu sana tangu mwaka 1994)

Sasa mnamo mwaka 2018 baada ya sisi watoto kutawanyika nyumbani tulimwacha mwenyewe pale nyumbani na ikawa tunamuhudumia Kwa matumizi ya hapa na pale,ilipofika mwezi wa 11 kuelekea mwezi wa 12 mwaka huo ndipo tatizo hili lilipoanza

Akawa anatuambia wanangu hapa nyumbani naona Kuna watu wanakuja wananifatilia wanataka kuniua Mimi siwaelewi tukawa tuna muuliza ni watu gani hao mbona sisi wakati tunaishi hapo hatukuwai kuwa na tatizo na mtu,akazidi kusisitiza kwamba Mimi siwezi kuendelea kuishi hapa naomba mje mnichukue

Basi dada yetu mkubwa ikabidi apange safari aende akamchukue mana yeye ndiye anaeishi nae karibu zaidi kuliko sisi wengine mana tupo mikoa ya mbali, baada ya kumchukua na kuanza kuishi nae lile tatizo likawa kama limemtoka la kuhisi watu wanamfatilia wanataka wamuue.... Bas ikaenda Kwa Muda kama wa mwaka mmoja hivi akadai anataka aende kijijini kukaa Kwa madai yake kwamba anataka kubadilisha mazingira haikua tatizo
Tukampeleka Kwa mama yetu mdogo nae alisema ngoja nijaribu kuishi nae mana mama mdogo ni mtu wa maombi sana kanisani masaa 24

Yaan tulivyompeleka kule ndo kama tukawa tumeongeza tatizo ikawa Kila Muda tunaambiwa kwamba mama yenu anataka kujinyonga ety amechoka kuishi anaona Kila mtu mbaya kwake Hana Nia njema juu yake ikawa ni kulalamika Kila Leo kwamba mama yenu mdogo ananichukia,mara watoto wake hawanieshimu yaani ikawa taflani

Mpaka kufikia hatua mamdogo kusema mje mumchukue mama yenu Mimi amenishinda inafikia hatua anataka ajinyongee nyumbani kwangu tena mbele ya watoto wangu Mimi Kwa kweli hapana

Dada ikabidi aende akamchukue amrudishe tena nyumbani kwake mana ni mama yetu hatuna namna inabidi tuishi nae hvyo hvyo
Sasa baada ya kumrudisha yaan ndo kama tatizo limezidi kua kubwa zaidi mpaka dada nae ameanza kuhofia juu ya uhai wake mana amekua ni mtu wa kulaumu Kila mtu hamna mtu anaefanya jema kwake imefikia hatua anadai sisi tunapanga njama za kumuua kwanza hatumthamini kitu ambacho sio kweli mbaya zaidi anadai Mimi Bora nife tu Sina nilichobakiza Dunian,wakati mwingine anaongea vitu havieleweki,avielezeki yaan
Amekua ni mtu wa kuwaza tuuuu Muda wote Yani halali usingizi,ni kama mtu mwenye uwoga
Muda mwingine anatukana mpaka watoto wa dada kwamba nao Wana njama za kutaka kumuua,Sasa unajiulizan watoto wadogo hawa akili ya namna hiyo waitolee wapi

Kifupi ni kama mtu aliyechanganyikiwa,analaumu Kila anaemuona mbele yake kwamba ni sababu ya yeye kua hivyo.
Sasa wakuu hii tatizo linaniumiza sana kichwa changu sijui tunafanyaje kutibu hili tatizo.mana kama ni kuombewa ameshaombewa sana tu tangu kule Kwa mamdogo lakini wapi Mambo yamekua magumu

Najiuliza uenda ni issue ya phycology tumtafutie wanasaikolojia wakae nae wazungumze nae sisi tulishaongea nae mara nyingi sana hamna kitu tumeambulia

Sasa ndugu zangu nimeleta kwenu mnishauri nifanyaje kutibu tatizo halilonalo mama angu
Sipendi awe kwenye hali hii inatuchanganya familia nzima hatuelewi la kufanya we are so confused Kwa kweli

Natanguliza shukrani wakuu
Hyo n side effect ya Matumizi ya ARV
 
Back
Top Bottom