mi hata coni haja ya kufahamu huo mshahara wa hao viongozi ,,,,,coz wao ndo walioshikilia mpini, ,,,,, na ukikuta hyo mishahara ipo juu utashauri ipunguzwe? nn maoni yako khs zile milioni 12 za wabunge?? ebu compare na mshahara wako.,,,,,,,ni shidaaaaaaaaa