Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Hahahaaaaaaaaaa .......Mkuu Eiyer kule MMU unakondoo wengi sana waohitaji mchungaji naomba utumie nafasi yako kama baba paroko kuwezesha huyu kijana kupata kondoo mmoja embu nakuomba uwa-mention hapa labda jamaa yetu ataonewa huruma.
Mkuu kwanza ngoja nipate kwanza halafu nitamsaidia huyu ndugu maana hata mimi niko kwenye kusaka mkuu .....!!