Utamu wa maisha

Utamu wa maisha

Mkuu Eiyer kule MMU unakondoo wengi sana waohitaji mchungaji naomba utumie nafasi yako kama baba paroko kuwezesha huyu kijana kupata kondoo mmoja embu nakuomba uwa-mention hapa labda jamaa yetu ataonewa huruma.
Hahahaaaaaaaaaa .......

Mkuu kwanza ngoja nipate kwanza halafu nitamsaidia huyu ndugu maana hata mimi niko kwenye kusaka mkuu .....!!
 
Hahahaaaaaaaaaa .......

Mkuu kwanza ngoja nipate kwanza halafu nitamsaidia huyu ndugu maana hata mimi niko kwenye kusaka mkuu .....!!
Hahahaha! lol kumbe embu turejee kwenye neno kidogo "mpende jirani yako kuliko unavyojipenda" ukimfanikishia huyu kijana kupata mwenza hapa naamini njia itafunguka kwako pia baraka zitamiminikaaaaa!
 
Njema,mzima wewe?

Habari ya siku?

Halafu nimekumis sana aisee!!

Njema kabisa mkuu.. Huyu ni jirani yako kabisa, hebu mfanye mpango tule ubwabwa bana. Ujue nimemiss ubwabwa wa foleni hapa RC eeeh
 
Njema kabisa mkuu.. Huyu ni jirani yako kabisa, hebu mfanye mpango tule ubwabwa bana. Ujue nimemiss ubwabwa wa foleni hapa RC eeeh
Ngoja tuwe wavumilivu tuone kama ndoano yake itakamata aisee

Tutaitafuna tu,usitie shaka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom