Weka collant kwa sababu boiling point yake iko juu ya boiling point ya maji ndio maana huwa coolant inachelewa kuisha kwenye rejeta. Na kama unatumia maji tumia haya maji ya kunywa ya chupa badala ya maji ya bomba, maji ya chupa yana chembe chembe chache za kutu kuliko maji ya bomba
Hiyo ni ajali kama ajali zingine, na pengine imetokana na uzembe wa dereva wa bus kutokuzingatia kivuko au dereva wa treni kutokuwasha taa kubwa za mbele au kupiga honi, na napata ajabu sana kwa jinsi pale palivyo peupe dereva unapataje ajali
Yaani sample ya mabus mawili inakufanya uconclude kweli, be serious brother, usafiri wa usiku ni salama sana kuliko wa mchana na unasaidia kutunza chombo cha usafiri pamoja na matairi, ishu za dereva mmoja mmoja au mmiliki mmoja mmoja zisitufanye tufute safari za usiku
Hizo.ni hesabu za wanasiasa 2 + 2, miwil kabla ya uchaguzi na miwili baada, hata hivyo hongera kwa mama, barabara ya handeni singida ni mihimu sana kwa ustawi wa nandari ya tanga, na nina imani baada ya barabara hiyo kuisha Dp World wataitaka na port ya Tanga.
Tunahitaji pia barabara ya mtwara...
Hilo daraja ni mujimu.sana, watu wa dec, burundi na rwanda watapita hapo watakapokuwa wanatoka na kwenda mombasa, maana hiyo njia itakuwa short cut sana, badala ya kupitia uganda
Hizo mbona chache sana, chukua gari hiyo, km sio ishu, angalia mambo mengine. Mimi nina gari niliinunua ikiwa na 210,000 km 7 yrs ago, leo ina 480,000km na inapiga safari kama kawaida na engine sijawahi kuiguza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.