Kwa hiyo ndugu una maanisha Paschal mayala kwa sasa anakisaliti kimvuli chake?? Yaani unamaanisha kuwa Paschal anakikana kata kata kuwa kimvule chake cha miaka ya 2007 hadi 2015 hakikuwa cha kwake??. Kwa hiyo ndugu una maanisha Paschal alienda kwa mganga wake wa kisukumu kupiga ramli na kisha...
Naomba unijibu! ni kwa nini kwenye line za simu tuu( makampuni ya simu ) ndo kodi ya uzalendo ilipo! na Cyo kwenye mabenki??. Na kama kweli ni uzalendo, kwa nini mawaziri, makatibu, wa RPC, na wengineo wasitembelee magari ya 120mil na kwenye ngazi za mikoa na wilaya wawe below 60mil ?? Kwani...
Mwambieni waanze kwanza kamati kuu ya chadema, pia na wajumbe wote wa mkutano mkuu wa chadema! Baada ya hapo wachanjwe mashabiki wao wote, akiwemo na gentamycine.
Wewe kama umetumwa na wenzako ili utuamishe mawazo yetu! Waambie kwa sasa Cyo agenda hiyo. Kawaambie makato hayo ni madogo sana!! Waambie waongezee tuu , ila TZ hatuami.
Matajiri wanaoweka na kutoa pesa benki; wao hawajaguswa na kodi ya uzalendo. Ila masikini wa vishilingi mia mbili vya kina...
Soma kifungu chako cha pili kutoka kifungu cha mwisho ndo utajuwa ni wapi ulipoingiza ushabiki . Pia ilibidi utuambie antony dialo ni nani , na aliwahi kuwa nani ktkt nchi hii, utuambie ktk kazi zake ktkt nchi hii ni scandal gani mbaya au nzuri alizozifanya ktk nchi hii, utuambie ni heshima ipi...
Huwa napenda sana kusoma post zako! Na huwa kuna vitu najifunza sana kupitia wewe gentamycine. Ila naomba nikuambie kwa post yako ya leo umeenda sana wrong na umeiyandika kiuchochezi.
Kuwa makini sana kiongozi kwa post zako . Watu wataanza kukuzarau kwa post zako!
Kama yule mwamba pascal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.