Huyu faru pamoja na off springs wake wawili mtoto na mjukuu walikuwa wanatunzwa na private conservancy ol pajeta iko Laikipia Kenya. Aliporudishwa Kenya pamoja na jike mmoja walijaribu sana kuwafanya wa mate ikashindikana. Huyo jike alikufa nadhani around 2009 sina uhakika sana lakini. Hawa...
Hata mimi naona wahusika walishindwa kuchukua hatua mapema. Sasa hivi wanajipanga jinsi ya kufanya in vitro fertilization. Seriously? mpaka dume pekee aliyebaki anakufa!
Namuunga mkono mleta mada. Wiki mbili sasa ninatumia dakika zaidi ya ishirini kutoka sheli ya lala mpaka round about ya impala umbali usiozidi 1.5km. Madereva na sio wa hiace tu, wanakiuka sheria wanaendesha kwenye service road pande zote mbili kuchelewesha madereva wanaofuata sheria.
Juzi...
Haujakosea hata kidogo, Lipumba ana uwezo mkubwa. Ona anavyo bomoa cuf aliyojenga kwa miaka kadhaa ndani ya muda mfupi tena akilipwa pesa nyingi. Lipumba katumwa kazi na anaifanya kwa viwango vya juu. Kufanya uharibifu wote anaoufanya lazima awe na uwezo mkubwa. (Sharp but very crooked mind)...
Veronica7598 Mwambie huyo mdogo wako akimbie wala asigeuke nyuma. Jamaa jinga kabisa, kama anaogopa kiasi cha kutaka kukimbia stretchmarks za kuongezeka uzito baada ya mimba atafanyaje?
Shida ni kuwa na company zinazopenda public attention liwalo na liwe. Wapo wengi tu wanafanya ya kushangaza zaidi ya haya lakini hautakaa uyaone in public.
Ungekuwa mwerevu lazima ungejua kuwa tangu enzi ya ukoloni na hata baada ya uhuru kumekuwa na majaribio mengi ya kuwabadilisha hawa watu na yote zimeshindikana. Unaanzaje kumlazimisha binadamu kubadilisha njia yake ya maisha ambayo anaamini ndio bora kuliko zote? Its always survival for the...
January 2016 nilipewa jukumu la kutafuta gari la kusafirisha mwili wa marehemu mmoja kutoka Arusha airport to mount meru hospital. Nikapiga simu nikatafuta ambulance. Dereva alipofika airport akakataa akasema ambulance haisafirishi maiti nitafute pickup. Hakunipa sababu ya kukataa, aliondoka...
Pamoja na kwamba mimba zinaharibu shape, kuna nguo zinafanya mjamzito aonekane vibaya zaidi. Nguo gani sasa hiyo kavaa! imemtoa kama butternut. Angevaa nguo inayofaa angeonekana maridadi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.