Nmescroll hadi chini nkijua ntakuta kuna mtu kakujibu, wizara ya ardhi ndo kuna ofisi ya msajili wa nyaraka, deed poll ni lazima isajiliwe watu wawe aware kuwa umebadilisha jina na taifa kwa ujumla.
Hello
Kwanza ahsante kaka Mwifwa kwa kunishtua nitoe muongozo[emoji3]
Tuanze na Affidavit
Affidavit kwa kiswahili ni kiapo, unaapa kuwa hayo majina yote uliyonayo ata kama yamekosewa yatambulike tu kuwa ni yako
Sasa kwa affidavit ni document official but shida ake ni kuwa, kila sehem...
Nashindwa kuelewa nifanyeje, maana nkituma always inaonesha nliyoselect ya kwanza nyingine zinakuwa na link kama attachment na ukifungua hazifunguki, kama unaweza nielekeza how to do it utakuwa umenisaidia, zamani ilikuwa poa ila sasa hivi ndo hivyo
Habari, nawasalimu kwa jina la Jamhuri, natumaini mpo poa na mapambano yaendelee, ubusy tu nmeshindwa kusoma texts zote, ni kama 3000+
Kwa kweli huu uzi uenziwe[emoji4]
As for me nakuelewa 100%, halafu sielewag watu wa tuma screenshot tuprove aisee[emoji23], yaani mtu ni issue ake mwenyew mnamlazimisha atume screenshot...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.