Recent content by mary2014

  1. M

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    Mkuu hii Makalo inaendelea lini tena?
  2. M

    Natafuta gari (Basi) la Biashara

    Hauhitaji noah mkuu, Nina noah nakodisha ni zile ngumu 4weeldrive afu mpya bado number D
  3. M

    Kwa mahitaji ya mbao ngumu( hard wood) Mkogo na Mninga

    Ndugu zangu Nina MBAO ngumu Kwa atakayehitaji naomba tuwasiliane, bei ni nafuu ukichukua MBAO zaidi ya 50 usafiri juu yetu, tutakuletea hadi mahali ulipo kwa wakazi wa Dar tu. Mungu awabariki sana ukihitaji naomba ni pm number yako nitakupigia saa hiyo hiyo. Natanguliza shukran za dhati. Asante
  4. M

    Mzigo wa Vitunguu toka Arusha

    Natafuta mzigo wa vitunguu toka mangora Arusha, plz nipm
  5. M

    Kwanini Lowassa anakwepa kuzungumzia ufisadi?

    Kiafya jamani hayuko vizuri anahitaji kupumzika last week alishindwa hata kumalizia kupandisha ngazi Arusha hadi akapewa msaada wa kusaidiwa, Pili sio msafi Nyerere alishatuonya, kwanini tusiwape viongozi wengine ambao ni wasafi? Kampani ya lowasa wote wanaskendal ya ufisadi, juzi Arusha...
  6. M

    Toyota Passo inahitajika budget mil 4.5

    Za jioni ndugu zangu,gari tajwa yahitajika iwe katika hali nzuri, number iwe C,mbarikiwe sana
  7. M

    Fridge ndogo size ya mwisho used inahitajika

    Natafta friji ndogo kabida size ya mwisho used iwe katika hali nzuri, brand yeyote,mwenye nayo anichek,asante
  8. M

    Mtaalam wa kudesign na kuprint card, na fundi nguo

    Natafta mtaalam wa kudisign card za haruc nzuri kwa bei nafuu,card ambazo ni nzuri kuanzia mpangilio wa colors na material used, pia natafta fundi mzur wa kushona nguo hata ukimuonyesha kwenye picha anatoa the same, asanteni sana
  9. M

    Natafuta mchele, kuku, mayai

    Mimi Niko dar, ni vyema hao kuku na mayai wawepo dar, mchele hata kama uko nje ya dar name lkama bei ni nzuri, sina tatizo tutaongea biashara
  10. M

    Natafuta mchele, kuku, mayai

    Nataka mchele kilo elfu moja, na kuhusu mayai na kuku nataka wa kizungu, kuna tenda nazifukuzia kwenye hotel, ni pm wenye kuku na mayai nijue tunafanyaje biashara, asante
  11. M

    Natafuta mchele, kuku, mayai

    Ndugu zangu natafta mchele grade A ule usio na mawe wala usiovunjika kwa bei ya jumla, mwenye nao plz anipm, pia nahitaji kuku na mayai kwa bei ya jumla, mbarikiwe
Back
Top Bottom