Recent content by marvin ogochuku

  1. M

    Mbowe: Kikwete akijiongezea muda hatutakubali, nchi itawaka moto

    waacheni wafu wawazike wafu wenzao
  2. M

    Media Kususia Habari za CHADEMA: Chanzo ni Mbowe!

    ujana sio kigezo cha kuwa na maamuzi sahii wala uzee sio kashfa ya kutokua na maamuzi sahihi. ninachokuambia ni kuwa uache tabia ya kushabikia mambo ya kijinga nchi kuingia kwenye machafuko sio jambo la kushangilia hata chadema kuna wanachama wazee pia jaribu kuwa na heshima kwa wazee wako ...
  3. M

    Media Kususia Habari za CHADEMA: Chanzo ni Mbowe!

    hiyo ni ndoto ya mchana mkuu serikali ya CCM itaendelea kuwa madarakani baada ya uchaguzi mkuu. Subiri uone
  4. M

    Nahisi rafiki yangu anataka nimsaidie kumtia mimba mke wake

    kumbe jibu tayari unalo hata mimi nakuunga mkono
  5. M

    Media Kususia Habari za CHADEMA: Chanzo ni Mbowe!

    moto gani wewe? hebu acha kushabikia ujinga
  6. M

    naomba kujua za athari za kubwia ugolo!

    Asante kwa taarifa umenifumbua macho na mimi nina ndugu yangu amekua kama mmasai ni ugoro kila saa
  7. M

    Party ya wana JamiiForums waishio Dar es Salaam

    yule jamaa alieniita kenge ajiandae nitampa za uso aki attend
  8. M

    Wanawake wachokozi siku hizi!

    wamependeza
  9. M

    Nahitaji mwanaume wa kula ne bata tu!!!!!!

    usipokua tayari kuliwa kidogo huli....
  10. M

    Jengo Karibu na Ikulu noma - Vigogo wawili wa Wakala wa Majengo Kortini

    jaribu kua na fikra, use your head not your eyes
  11. M

    Urafiki wa mashaka Pinda, Kikwete na Ulimboka

    great minds discuss ideas average minds discuss events small minds discuss people
  12. M

    bei poa

    usikose kwenye mnada njoo na dau lako nzuri
  13. M

    hahahaha

    sasa povu la nini? na wewe ni nani katika dunia hii kuniuliza maswali hayo???
Back
Top Bottom