ujana sio kigezo cha kuwa na maamuzi sahii wala uzee sio kashfa ya kutokua na maamuzi sahihi. ninachokuambia ni kuwa uache tabia ya kushabikia mambo ya kijinga nchi kuingia kwenye machafuko sio jambo la kushangilia hata chadema kuna wanachama wazee pia jaribu kuwa na heshima kwa wazee wako ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.