Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,416
Kwani chadema ndo inayonilipa buku saba?yanayokufanya ulipwe book 7 bila chadema ungelikuwa wapi weye
Kwani chadema ndo inayonilipa buku saba?yanayokufanya ulipwe book 7 bila chadema ungelikuwa wapi weye
Padre mzinifu hatusumbui hata kidogo. CHADEMA wakilogwa tu kumsimamisha babu basi hata kampeni hatutapigaumechambua vizuri ludovic,ila nakuambia babu slaa akisimamishwa kugombea urais,ccm watakuwa wamepewa uteremko na wala hawatatumia nguvu nyingi yule mzee kachoka anajitutumua tu.
LUDO Dhambi ya usaliti imeanza kukutesa eh, umeanza kuweweseka na bado.
mipango yenu ovu daima haitashinda haitashinda, endeleni kujipanga
ndio zako hizo unajigonga kwa watoa book 7 sioHivi wewe Froida unaandika nini? Yaani mie naona unajigonga gonga tu
hawezi kuwa mzinifu zaidi ya wazinifu waliopo magogoni wewe mtu anazaa watoto 30 wote mama mbalimbali na bado wametinga IKULU hata hawajui wafanye niniPadre mzinifu hatusumbui hata kidogo. CHADEMA wakilogwa tu kumsimamisha babu basi hata kampeni hatutapiga
si ndio mtaji wako ukiitaja mara mia kwa siku basi weye kijino pembe unakamata mshikoKwani chadema ndo inayonilipa buku saba?
Tukiwa wa kweli ndani ya nafsi zetu tunaweza kufanya mazuri zaidi. Hivi tukianza kuwachambua viongozi wetu wote walioCCM ni nani atabaki kwa kuwa ni msafi kwenye mambo ya ukahaba? Ukiwa mkweli daima unakuwa na akili zaidi, kwa sasa hebu muache huyu Dr.Slaa na maisha yake.Hata mwenyekiti wetu wa CCM ni mchafu kupita maelezo lakini tunamstahi. Na mbaya zaidi aliwahi kutamka ulevi wake ni nini?Padre mzinifu hatusumbui hata kidogo. CHADEMA wakilogwa tu kumsimamisha babu basi hata kampeni hatutapiga
Pompo,
usaliti ni dhana inayopaswa kuelezwa na kueleweka vizuri kwa wana chadema na wote wenye mapenzi mema. tujuavyo usaliti ni kwenda kinyume kwa nia ovu na mipango adilifu ya pamoja. katika muktadha wa chama cha siasa, ni kwenda kinyume na falsafa,itikadi, sera, na maadili ya chama. sasa nani kati ya anayeitwa msaliti chadema amevunja hayo?
Hakuna mtu anayewajibika au kubanwa na dhamiri kutenda jambo baya.ikiwa kuna watu waliona chadema inakengeuka na haifati falsafa,itikani,sera na maadili yake,huo siyo usaliti. wasaliti ni wale wanaovunja hayo. bahati mbaya kwa chadema ndiyo wanawaita wenzao wasaliti.
ACT-TANZANIA
Hatimaye chama hiki kidogo hatujui sawasawa malengo ya chama hiki kuanzishwa japo waanzilishi wanatupa misingi kumi ambayo kwa kweli ni mizuri. kinadai kinataka kufufua unyerere. yako baadhi ya mambo ya ajabu sana juu ya chama hiki. kwanza ni chama ambacho kinapigwa vita na wapinzani wenziye.hili ni jambo la aibu hasa kwa chadema kuona sasa kinapinga demokrasia ya vyama vingi.
Chama hiki kimesema na kurudia malengo yake lakini kinaambiwa kinaua upinzani.kwa hiyo hiki ni kihunzi cha kwanza kukiruka. chadema kwa sasa wanahitaji na kutamani wawe chama peke yao.
Kwa maoni yangu, itategemea baadhi ya mambo. mfano kama ni kweli kuwa ZITTO na KITILA wako nyuma ya chama hiki, basi uhai wake utategemea kwanza watu hawa wawili wajitokeze hadharani na kuanza kujenga chama chao na kama hilo litatokea, chama hiki kitakuja kuwa chama kikubwa sana hivi karibuni tu. maana, kuna watu WENGI wako frustrated katika vyama vyao vya sasa, watakuwa wamepata pahala pa kupumulia. katika kufikiria mbali,na kama CCM ikimeguka kuelekea uchaguzi mkuu na mgombea mwenye nguvu huko akatemwa akaamua kujiunga ACT, mimi sioni ugumu kuwa chama hiki kinaweza kutoa rais wa awamu ijayo. na hizi siyo ndoto.
LUDO Dhambi ya usaliti imeanza kukutesa eh, umeanza kuweweseka na bado.
mipango yenu ovu daima haitashinda haitashinda, endeleni kujipanga
Marehemu chadema, rest in hell