Recent content by Marukangasi

  1. M

    Mkasa wa Dr. Ulimboka: Inawezekana Kabisa Sio 'Inside Job'!, bali ni 'Smear Campaign'?!

    Kuna raia na raia maarufu, mifano ipo mingi kwamba Steven Kanumba alikuwa rai wa kawaida lakini alikuwa maarufu(let the famous people be praised) Ndio Dr Ulimboka alikuwa raia wa kawaida lakini maarufu,kwa hiyo Kama ni maarufu lazima aenziwe hiyo ni kawaida ya binadamu wote,sasa Kama wewe sio...
  2. M

    A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    This is old communist style(tactics) hivi kweli dunia ya sasa unaweza kufanya vitu kwa staili hii ya kizamani ?huwezi kufunga mtu mdomo kwa kutumia mbinu hii ya kizamani dunia iko macho na mambo hayo ya kibabe ya kizamani hayakubaliki
  3. M

    Hali itakuwaje mtaani wakifukuzwa maaskari wenye vyeti visivyokuwa vyao?

    Hapo tufanye tu Kama kristo alivyosema sisi wote tume tenda dhambi na tumepungukiwa na utukufu wa mungu(we are all sinners and we have fall short of glory of Gods)maana bila kufanya hivyo itkuwa ni kazi kweli kweli lakini haina maanishi tuendelee kuvivumilia vitendo hivyo :glasses-nerdy::boxing:
  4. M

    Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    Lusinde huwa hasifishi kinywa chake(hapigi mswaki)kwahiyo kinywa chake kinanuka Ndio maana anporomosha matusi makubwa makubwa,akianza kusafisha kinywa chake tena kwa kutumia aqua fresh basi atarudi kwenye mstari:rapture::yell::yell:
  5. M

    Shoga ana hedhi(bleed)

    Mende mmoja alikuwa anamuuliza mshikaji wake yaani shoga Kama wange toka out Pamoja , shoga naye akamjibu yakuwa Leo naumwa yaani niko mwezini(Leo mwenzako na bleed ) kumbe shoga maskini ANAHARISHA,kuharisha yeye Anaita kubleed
  6. M

    Tatizo la Kukosa Usingizi (Insomnia) na tiba yake

    Pamoja na maelezo yaliyotolewa hapo awali kumbuka kunywa maziwa au kula Samaki wakati wa jioni kabla ya Kwenda kulala kwani kwa kisayansi maziwa na Samaki zimeonekana kupunguza kemikali inayotolewa na ubongo (serotonin ) kwahali hiyo ukitumia vitu maziwa au Samaki au vyote kwa Pamoja utapata...
  7. M

    Tatizo la kuwa na harufu mbaya kinywani (bad breath) - Chanzo, dawa za kuzuia na ushauri

    Harufu mbaya mdomoni kwanza inatokana na kushindwa kufanya usafi wa kinywa vizuri ,yaani unaweza kuwa unasafisha kinywa bila ya kutumia dawa za meno(toothpaste) ua dawa ya kuoshea kinywa ( mouth wash) na ukukumbuke kusafisha ulimi kwa siku hizi ipo miswaki maalimu ya kusafishia ulimi,kwani...
  8. M

    Dawa za kuongeza ukubwa wa mashine kwa wanaume, ni kweli au propaganda??

    Tatizo sio ukubwa wa uume,tatizo ni jinsi ya kumfanya mwenzako afikie kileleni,kitendo cha kujamiana huwa akizidi dakika 3 au zaidi kidogo,kwahiyo ukubwa wa uume hausaidii zaidi ya kumpa maumivu mwenzako ,tafuta mbinu za kumfurahisha mwenzako hata bila ya kujamiana. Bint mmoja alikuwa...
  9. M

    Tatizo la kichefuchefu: Fahamu chanzo cha tatizo, viashiria na ushauri juu ya tiba

    Kichefu chefu ni dalili ya kuwa tindikali nyingi katika tumbo(heperacidity)au dalili nyingine zinaweza kuwa magonjwa mangine kama malaria na homa ya matumbo,kwahiyo inategemea kichefuchefu hicho kipo kwa muda gani?vilevile inaweza kuwa dalili ya ujauzito(hyperaemesis gravidurum) au matokeo ya...
  10. M

    Miongoni Mwa Mazuri ya Kikwete: "Has Good Sense of Humour"

    Usalama hususani katikati ya majiji makuu Kama Dar es salaam ,Mwanza,Arusha ujambazi umepungua sana,Hilo kwa kweli muheshimiwa anastaili ,pongeze. Lakini yeye Kama mwislamu hajawahi kusikika akisema hata neno alhamdulilah,au sehemu ya mtume (S.A.W) yeye anasema subhanau wataala,lingine...
  11. M

    Kutoka na usaha kwenye uume

    Kutokwa usaa kwenye njia ya uume(urethral discharge syndrome) au UDS Ndio jina la kitaalam,na jina la mtaani ni kunyonyesha sasa sijui unanyonyesha kwa muda gani sasa?kuna magonjwa ya fuatayo ambayo huambana na kutokwa usaa sehemu za Siri kwanza kuna kisonono( gonorrhea ) au GC,kuna Trichomas...
  12. M

    Hamu hakuna

    Kwanza jaribu kubadilisha chakula unachokula,vipo vyakula vinavyoaminika kuongeza nguvu za kiume(aphrodisiac food) ulaji wa chakula cha Karanga haswa wakati wa usiku,matumizi ya Karanga kumeonekana kumsaidia mlaji kuongeza nguvu za kiume,kula samaki kwa wingi especial of see food,punguza kula...
Back
Top Bottom