Recent content by Martinde Nchembi

  1. M

    Tulichokiona leo kwa macho yetu, kesho Magazeti ya Uhuru, Habari Leo yatatoka kivyake

    habari yako ni ya kishabiki! Pumb*fu nenda ukalale!
  2. M

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Dr. Yuko right kabisa, kua kunawateule, nikirejea kauli ya MTEI kuwa makamu m/kiti aliyejiuzuru ndo alikua ameandaliwa, ila watakumbuka tu wale wenye kumbukumbu lakini wale mashabiki waviongozi!
  3. M

    Mgombea Udiwani Kata ya Mtae atekwa na watu wasiojulikana

    Hii noma sana, siasa za bongo!
  4. M

    Ukishangaa ya Salva Kiir utaona ya Freeman Mbowe

    nchi hii imejaa wachumia tumbo, hata uwaelimishe vp hawataki kuelewa mbowe ni tatizo chadema na elimu yake ya kuungaunga!
  5. M

    Natafuta kazi ya ualimu

    Natafuta kazi ya ualiamu, elimu yangu shahada ya sayansi na ualimu, masomo ninayofundisha ni MATHEMATICS AND GEOGRAPHY. CONTACTS, 0688262616.
  6. M

    Mh. Tundu Lissu aeleza sababu ya kuondoa kipengele cha ukomo wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA

    acha butron kutetea ujinga, kwani miaka 10 haitoshi mpaka mtu ang'ang'anie awe wa milele nakuondoa hicho kipengele nikufanya watu watimize malengo yao ya kimaslahi!
  7. M

    Katiba ya CHADEMA na muda wa Uongozi

    Ni hatari sana
  8. M

    Bashiru Ally: Vyama vya siasa Vya Maslahi

    mangatara elimu yako tafadhali! Au ndo standard seven kubishana na prof
  9. M

    UCHAGUZI CHADEMA: Ratiba yatoka Rasmi

    Naipenda TANZANIA ILA SIPENDI VYAMA VYA SIASA!
  10. M

    UCHAGUZI CHADEMA: Ratiba yatoka Rasmi

    acheni kupotezea watu muda wao kisha mnaanza kugombania madaraka! Mthamini utu wa watu sio kuchezea vichwa vyetu kwa chaguzi uchwara
  11. M

    UCHAGUZI CHADEMA: Ratiba yatoka Rasmi

    hizi ni szccos za watu mkipenda mtafanya siasa za tz ni uongo mtupu
  12. M

    CHADEMA: Ukweli kuhusu Mchungaji Israel Natse, Peter Msingwa na Prof. Baregu

    Nafikiri tuangalie nini tunatakiwa kufanya, tuanze mabadiko ndani ya chama ndo tutoke nje, kwanini mbowe ang'ang'anie? Uroho wa madaraka ndo utaua chadema. Je akiwa rais si atabadiri katiba ili adumu milele! Hata zitto inawezekana kunakitu aliona, hasa USULTANI WA MBOWE.
Back
Top Bottom