kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,746
Tutavunja katiba, nakubaliana na uchaguzi kufanyika baada ya uchaguzi Mkuu wa Taifa wakati wowote ule, iwe october 2015 au November 2017.
I beg to differ Mkuu, sijaandika kama mtetezi wa CHADEMA.Nimeandika kama mfuatiliaji wa demokrasia wa kawaida. Majibu gani unayoyahitaji?Umeji present kama mtetezi wa CHADEMA kwa vifungu vya katiba.
Kwa hiyo huna majibu right?
Mpaka mbowe astaafu ndipo chadema kifanye uchaguzi kwa sasa mwenye chama
Simiyu kumeshawekwa lami?
Wanachama wa chadema wenye kadi zetu hatutaki uchaguzi tuna mwenyekiti wetu wa maisha mpaka afe ndo tuchague mwengine tena lazima atoke kwetu atakae taka uchaguzi tunamfukuza,aende kwa maccm yanayotaka uchaguzi.
I beg to differ Mkuu, sijaandika kama mtetezi wa CHADEMA.Nimeandika kama mfuatiliaji wa demokrasia wa kawaida. Majibu gani unayoyahitaji?
Uchaguzi ndani ya CCM Taifa
1. Mwenyekiti alipita bila kupingwa kura 100%
2. Makamu Mwenyekiti Bara & Visiwani walipita bila kupingwa 100%
Je kwa akili zako za kushikiwa chaguzi ndani ya CCm zinafuata Demokrasia?
Uchaguzi ndani ya CCM Taifa
1. Mwenyekiti alipita bila kupingwa kura 100%
2. Makamu Mwenyekiti Bara & Visiwani walipita bila kupingwa 100%
Je kwa akili zako za kushikiwa chaguzi ndani ya CCm zinafuata Demokrasia?
sasa na wewe kwa akili zako za Shimo la choo unaamini kuwa Chadema inapaswa kuendeshwa ama kufanana na ccm??? Acha bangi dada angu, gongo haikutoshi mpaka uvamie tena na mibangi tena mbaya zaidi unavitia chooni itakuwa
Mkuu Zitto jnr, kwanza asante for much respect.Mkuu Pascal Mayalla huwa unaheshimika sana hapa jukwaani na muda mwingine huwa unaongea kwa mafumbo lakini hapa Sidhani kama unaongea kwa parables maana upo clear kuwa CHADEMA imefuta kipengele cha uongozi.
Hili swali aliwahi uliza Nape humu jukwaani na akajibiwa na Dr slaa pamoja na JJ Mnyika kwa hoja na nyaraka kwamba kipengele cha ukomo hakikufutwa ila katika kusaka maoni ya kutunga katiba mpya chini ya Prof Baregu suala hilo halikuwekwa na wanachama.
HIVYO BASI unapojenga hoja kuhusu suala hili usiseme kilinyofolewa bali sema katiba mpya haijazungumzia. Maana mtu anaweza dhani ilifanyiwa amendment ikafuta hiko kipengele.
Pascal upo credible so una uwezo wa kutengeneza au kuharibu so kabla hujachangia lolote keep your facts straight!!
Ni hayo tu mkuu wangu