Ukishangaa ya Salva Kiir utaona ya Freeman Mbowe

Ukishangaa ya Salva Kiir utaona ya Freeman Mbowe

Status
Not open for further replies.
Acha porojo wewe, hakuna dhambi kubwa duniani kama dhambi ya usaliti kwa taifa lako, ndo maana PK kwenye nchi yake amesema lazima waijuitie dhambi ya usaliti kwa taifa lao..

Umekaririshwa tu kusema usaliti, unaweza ku prove kuwa ZZK ni msaliti? Jaribu kuwa na fikra huru hacha kuhukumu watu kwa kutumia hisia na ushabiki bika uhakika.
 
nimekuelewa, kuwa uoga au kutojiamini hakufai....
 
The only easy day ( KWA MSALITI ZITTO ) was yesterday ! Ukurasa umefungwa ! MTATOKA MAPOVU HADI MTILIWE DRIP .
 
Umekaririshwa tu kusema usaliti, unaweza ku prove kuwa ZZK ni msaliti? Jaribu kuwa na fikra huru hacha kuhukumu watu kwa kutumia hisia na ushabiki bika uhakika.

kama mpaka leo huujui usaliti wa ZITTO basi wewe ni wa kuhurumiwa sana .
 
Kwa muda mrefu nilikuwa najaribu kuutafakari mgogoro uliopelekea vita nchini Sudan ya kusini na kupelekea watu zaidi ya 1200 kufa na mamia kwa maelfu kuyahama makazi na kupata shida ikiwa ni magonjwa ya milipuko na njaa kwa watotot na akina mama.

Nimejaribu kufikiria nini chanzo cha yote hayo nchini s.sudan na watu kufariki wasio na hatia nikagundua kuwa chanzo cha yote hayo ni HOFU , WASIWASI NA KUTOJIAMINI kwa Kiongozi wa nchi hiyo SALVA KIIe wa rais.

Huyu jamaa hajiamini na kumuhofia makamu wake wa rais na kuja na visingizio kuwa ana mpango wa kumpindua kumbe ni woga na kutokana na kujua kwamba makamu huyo wa rais anayajua madudu mengi sana ya salva kiir akaona ni vyema am "fix" mapema pasi kujua kuwa makamu huyo wa rais ana ushawishi mkubwa sana kwa wananchi na pia katika jeshi.

Baada ya kumtimua kazi kwa kisingizio cha UASI leo ndo tunaona madhara makubwa yanayoendelea kutokea s.sudan na yeye mwenyewe anahaha namna ya kuutatua mgogoro huo..kwa kuwa amelikoroga HANA BUDI KULINYWA.

kama viongozi wa chadema wangekuwa na akili timamu wangeweza kujifunza kupitia suala la sudani ya kusini na madhara yanayoendela kujitokeza hivi sasa ambayo yanagharimu maisha ya raia wasio na hatia.

FREEMAN MBOWE hana tofauti kabisa na
salva kiir rais wa s.sudan kwan kwa WOGA WAKE, KUTOJIAMINI KWAKE NA WASIWASI WAKE anamuogopa na kumuhofia sana kijana mdogo ZITTO ZUBER KABWE na kufanya kama alivofanya SALVA KIIR wa s.sudan kwa kumsingizia UASI na USALITI ili wam "fix" kama alivyofixiwa makamu wa rais wa s.sudan

MY TAKE:kama chadema na freeman mbowe mtaendelea na mpango dhaifu wa kumfukuza ZZK hakika chama chenu hakiwezi kukwepa ya sudan kusin kwa namna yoyote.

Wenye akili timamu watanielewa vizuri sana lakini misukule haiwezi kunielewa hata kidogo zaidi ya kuja na matusi na kashfa pasipo kusoma vizuri na kuelewa na kutafakari ki great thinker.

Hujui historia ya Sudan Kusini. Once a traitor, always a traitor, Riek Machar ni Msaliti tangu enzi za mapambano ya ukombozi aliwahi ku-defect na kukimbilia North ambapo alipewa Uwaziri. Machar haaminiki katu, wanaomuunga mkono wana maslahi binafsi ktk huo mgogoro.
 
Mjinga kunywa naye uji ukiwa wa moto, ukipowa atadubukiza mikono
 
mbowe angempisha zitto mapema kuepusha mtafaruku
mkuu mimi nadhani angekubali kumvaa tu Zitto kwenye uchaguzi wanachama waamue nani anayefaa kuwa mwenyekiti. tatizo mbowe muoga. anaogopa mpaka kivuli chake.
 
mbowe akikuona kiti chake unakiviza anakuita MHAINI,maana halisi ya mhaini ni mtu anayetaka kupindua DOLA sasa chama chetu CDM kimekua lini DOLA?

baada ya kumfukuza zito sasa wamemgeukia baregu. wakimalizana na baregu wanahamia kwa prof.safari.mpaka wabaki wenyewe wanaukoo tu
 
hahahah..lazima atakuja tu kukanusha na kumsafisha mwananume mwenzake sijui huwa anafanywa nini jamani huyu mbowe maana mbowe asiguswe kidogo tu TUMAINI MAKENE kesha kuja kumkingia kifua huku kashupaza mishipa ta shingo...UTUMWA WA FIKRA NI MBAYA SANA KULIKO UTUMWA WA ENZI ZA BIASHARA YA UTUMWA...

Kawakama, Lizaboni na wenzio mnachekesha sana. Inaelekea ninyi nyote ni ma-jobless mnaoshinda mitandaoni kuwasema vibaya viongozi wa CDM, na chama chenyewe, kwa ujira wa book 7 kutoka Lumumba.
Maana haingii akilini a person with with their proper minds and paying job/activities atashinda the whole day kny mitandao akimtukana Mbowe au Dr Slaa, just for their love of Zitto Kabwe! It is quite absurd!! Kama Zitto ana thamani namna hiyo kwa chama chenu kwa nini msimpe nafasi??
The way it is, ccm wanamuogopa Mbowe due to his firm, unwavering stands, he has refused to succumb to ccm's intrigues whose aim is to corrupt him the way they've been successful in corrupting Zitto with ease. Zitto has been an easy prey inasmuch as he's from a poor background!!
So gentlemen, fanyeni kazi zenye future badala la hii ya kushinda mitandaoni kila siku mkitukana viongozi wa CDM. Baada ya uchaguzi na iwapo ccm itashinda ninyi wote mtakuwa redundant, just like a condom! Shauri yenu!!
 
Hawa wanasonga kuipeleka Chadema kule wananchi wanakotaka bila kujali longolongo zinazopikwa na watawala mafisadi
ImageUploadedByJamiiForums1389783326.609581.jpg

Ila huyu jamaa hapo pembeni angalia jicho lake! Utamuona tuu kuwa kama sii mtumia "ndumba" basi ana hiana sana na uzeeni huyo asiishi Shinyanga lazima wata mchukulia kuwa ni wizard tuu.
ImageUploadedByJamiiForums1389783575.993389.jpg

Ila baada ya kumwelewe malengo yake hatua stahiki zikachukuliwa haraka na hakuna kurudi nyuma hata kama anatetewa na maccm
ImageUploadedByJamiiForums1389783734.429034.jpg
 
Kwa muda mrefu nilikuwa najaribu kuutafakari mgogoro uliopelekea vita nchini Sudan ya kusini na kupelekea watu zaidi ya 1200 kufa na mamia kwa maelfu kuyahama makazi na kupata shida ikiwa ni magonjwa ya milipuko na njaa kwa watotot na akina mama.

Nimejaribu kufikiria nini chanzo cha yote hayo nchini s.sudan na watu kufariki wasio na hatia nikagundua kuwa chanzo cha yote hayo ni HOFU , WASIWASI NA KUTOJIAMINI kwa Kiongozi wa nchi hiyo SALVA KIIe wa rais.

Huyu jamaa hajiamini na kumuhofia makamu wake wa rais na kuja na visingizio kuwa ana mpango wa kumpindua kumbe ni woga na kutokana na kujua kwamba makamu huyo wa rais anayajua madudu mengi sana ya salva kiir akaona ni vyema am "fix" mapema pasi kujua kuwa makamu huyo wa rais ana ushawishi mkubwa sana kwa wananchi na pia katika jeshi.

Baada ya kumtimua kazi kwa kisingizio cha UASI leo ndo tunaona madhara makubwa yanayoendelea kutokea s.sudan na yeye mwenyewe anahaha namna ya kuutatua mgogoro huo..kwa kuwa amelikoroga HANA BUDI KULINYWA.

kama viongozi wa chadema wangekuwa na akili timamu wangeweza kujifunza kupitia suala la sudani ya kusini na madhara yanayoendela kujitokeza hivi sasa ambayo yanagharimu maisha ya raia wasio na hatia.

FREEMAN MBOWE hana tofauti kabisa na
salva kiir rais wa s.sudan kwan kwa WOGA WAKE, KUTOJIAMINI KWAKE NA WASIWASI WAKE anamuogopa na kumuhofia sana kijana mdogo ZITTO ZUBER KABWE na kufanya kama alivofanya SALVA KIIR wa s.sudan kwa kumsingizia UASI na USALITI ili wam "fix" kama alivyofixiwa makamu wa rais wa s.sudan

MY TAKE:kama chadema na freeman mbowe mtaendelea na mpango dhaifu wa kumfukuza ZZK hakika chama chenu hakiwezi kukwepa ya sudan kusin kwa namna yoyote.

Wenye akili timamu watanielewa vizuri sana lakini misukule haiwezi kunielewa hata kidogo zaidi ya kuja na matusi na kashfa pasipo kusoma vizuri na kuelewa na kutafakari ki great thinker.

Ndugu unajisumbua mbure na hizi hoja zako za KIJINGA kwa sasa Zitto hautamsikia tena na ndani ya CHADEMA kwa sasa ZITTO = SHIBUDA
 
Tatizo lako kubwa ni shule za kata ulizosoma, kama huwezifanya uchambuzi yakinifu ni bora ukakaa kimya na kunyamaza kimya kabisa usikilizie tu muziki. Wewe mwenye akili ebu twambie umefanya nini katika nchi hii, au ndo wale wale mamluki wazee wa buku saba, Tafakari chukua hatua.

nchi hii imejaa wachumia tumbo, hata uwaelimishe vp hawataki kuelewa mbowe ni tatizo chadema na elimu yake ya kuungaunga!
 
kuliko kuandika vitu vya kipuuuzi kama hiki bora ungelala kwenu hili la kina mbowe na slaa limebuma police walimpandisha ndege kwa m50 kumbambikizia kosa arusha akalipanguwa mabomu na risasi walirushiwa pale soweto arusha zikawakosa .
Bw mleta mada tafuta kingine chadma haichafuki ......
Hii ya kuichafua cdm imebuma sio wewe wa kwanza mpo wngi ...jitahididi tunnunua umeme ,maji hakuna ni ghali sana ukilinganisha na vyanzomito na maziwa tulio nayo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom