Habari wanajamii mimi ni kijana nipo Kasulu mkoa wa Kigoma nataka kufanya biashara ya kuwa nachukua mpunga mashambani na kuja kuuza kasulu mjini ikiwezekana mwakani nianze kuulima pia mwenye uzoefu aje anijuze
Habarin wanajamii
Mm Nipo kigoma wilaya ya kasulu ni mwajiliwa katika kampuni fulani ya mawasiliano, ninataka kufanya biashara but sijajua nifanye biashara ipi kwasasa naombeni ushauri mtaji wangu ni 5mil
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.