Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,495
- 21,444
Hilo ndio jina lake, AUNT jina lake na EZEKIEL la baba yake.macho yaligongwa kwa Olivia Sikitu nikajiuliza hivi ni mimi
silijuagi jina la aunt Ezekiel nini baadae ndio nagundua
Hilo ndio jina lake, AUNT jina lake na EZEKIEL la baba yake.macho yaligongwa kwa Olivia Sikitu nikajiuliza hivi ni mimi
silijuagi jina la aunt Ezekiel nini baadae ndio nagundua
Jina lake ni GwantwaHilo ndio jina lake, AUNT jina lake na EZEKIEL la baba yake.
Andendekisye yasampeta-AY
Jina la ukoo hilo
Adili amevuta? Adili huyu huyu alieimba Peke yangu? A.k.a Hisabati?Nigga One - Adili Kumbuka(RIP)
Adili amevuta? Adili huyu huyu alieimba Peke yangu? A.k.a Hisabati?
Nimekupata mkuu and R.I.P to the deceasedView attachment 745539
Adili Kumbuka, mmoja kati ya waanzilishi wa muziki wa hip hop ya Tanzania. Adili ni ndugu na Khalid, Arafa na Mahadia Kumbuka.
Adili Kumbuka aka Nigger one alikufa kitambo kwa ajali ya gari maeneo ya Nyumba ya sanaa alikuwa akitokea kwenye mashindano ya Ku Rap yaliyokuwa yanaitwa YO RAP BONANZA, pia nigger one alikuwa ni mmoja wa waanzilishi wakundi la KWANZA UNIT pamoja na DRob(r.i.p), Ramson, Ythang.
Adili Kumbuka Sio Adili Hisabati(CHAPA KAZI MAUJANJA SAPLAYAZ).
rugemariyajimmy kabwe ni msanii wa sanaa gani?
kama ndo ivo basi
Rugemarila Mutahaba= ruge
Achumani Njiapanda - Hermionize
