TIRIRIKA hapo chini kwa Mambo na majambo ya watanzania na vituko vyao.
Mimi naanza hiviiiiii
"Ambako watu hununua bundle ili wapost Kama hawako vizuri kiafya badala ya kununua dawa".
Vitabu vingi vya dini vinaonyesha kumponda shetani na kumtuhumu kuwa yeye ndio baba wauovu, msababisha maasi na dhambi duniani.
Vitabu hivyo vilevile vinamtukuza Mungu kama ni baba wa upendo, vinaonesha pia hata ukaribu wa Mungu kwa baadhi ya wanadamu kama Mussa, Daud n.k.
Swali langu ni...
MARA nyingi AKILI yangu huwa inafanya kazi kulingana na mtu ninaekutana nae.
Kuna mtu anajua mimi ni mjinga.
Kuna mtu anajua mimi ni mtu mwenye upeo mpana wa kufikiri.
Kuna mtu anajua mimi ni mpole harafu kuna mtu anajua mimi ni bonge la mkorofi.
Kuna mtu anajua mimi ni mcheshi harafu kuna mtu...
1. Watu wenye Mafanikio na Ufanisi huwa na sifa mbili midomoni mwao: Tabasamu na Ukimya. Tabasamu husaidia kutanzua matatizo, vile Ukimya husaidia kuepuka matatizo.
2. Unaweza kuchanganya Sukari na Chumvi pamoja. Ila sisimizi huchkua Sukari tu, na kuondoka nayo, na kuacha Chumvi...
Ex[emoji1522] Hellow, mambo..!!?
Girl[emoji3177]: poa tu nani..?
Ex[emoji1522]: aah!! ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa...?
Girl[emoji3177]: hayo hayakuhusu sema we nani...?
Ex[emoji1522]: mi Mcharo
Girl[emoji3177]: OMG!! mzima wewe?
za siku?
Ex[emoji1522]: nzuri tu nimekumiss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.