Vitabu vingi vya dini vinaonyesha kumponda shetani na kumtuhumu kuwa yeye ndio baba wauovu, msababisha maasi na dhambi duniani.
Vitabu hivyo vilevile vinamtukuza Mungu kama ni baba wa upendo, vinaonesha pia hata ukaribu wa Mungu kwa baadhi ya wanadamu kama Mussa, Daud n.k.
Swali langu ni...