Martin BM
Member
- Jul 2, 2020
- 16
- 22
Vitabu vingi vya dini vinaonyesha kumponda shetani na kumtuhumu kuwa yeye ndio baba wauovu, msababisha maasi na dhambi duniani.
Vitabu hivyo vilevile vinamtukuza Mungu kama ni baba wa upendo, vinaonesha pia hata ukaribu wa Mungu kwa baadhi ya wanadamu kama Mussa, Daud n.k.
Swali langu ni kwamba hivi mbona hakuna kitabu chochote ambacho kimeandikwa na shetani angalau hata akijionesha kujitetea juu ya yale alioandikiwa kupitia vitabu vitakatifu?
Hata Mahakamani kawaida ni lazima kesi isikilizwe pande zote mbili sasa yaani mshtaki na mshtakiwa ila huku mbona hatuoni huyu mshtakiwa shetani akijionesha angalau hata kuandika kitabu kimoja akijitetea au kukubali hizo tuhuma zote kuwa yeye ndio muhusika?
Samahani wanadini hebu nisaidieni hapa.
Vitabu hivyo vilevile vinamtukuza Mungu kama ni baba wa upendo, vinaonesha pia hata ukaribu wa Mungu kwa baadhi ya wanadamu kama Mussa, Daud n.k.
Swali langu ni kwamba hivi mbona hakuna kitabu chochote ambacho kimeandikwa na shetani angalau hata akijionesha kujitetea juu ya yale alioandikiwa kupitia vitabu vitakatifu?
Hata Mahakamani kawaida ni lazima kesi isikilizwe pande zote mbili sasa yaani mshtaki na mshtakiwa ila huku mbona hatuoni huyu mshtakiwa shetani akijionesha angalau hata kuandika kitabu kimoja akijitetea au kukubali hizo tuhuma zote kuwa yeye ndio muhusika?
Samahani wanadini hebu nisaidieni hapa.