Recent content by marooo

  1. M

    Amepata ufaulu wa daraja la tatu mchepuo wa CBG! Je, anaweza kupata chuo cha Serikali?

    Hana 4 points from 2 subjects hivyo hajafikia viwango vya TCU (D=2, E=1 hivyo and 3 points from 2 subjects).
  2. M

    Udahili UDSM tayari umefunguliwa

    udsm.admission.ac.tz
  3. M

    Udahili UDSM tayari umefunguliwa

    Udahili UDSM umefunguliwa. Fuata maelekezo kwenye website yao www.udsm.ac.tz Best wishes kwa vijana wetu
  4. M

    Nifanye kipi kwa matokeo haya?

    Unavyo vigezo vya kujiunga na Chuo Kikuu kijana! Unazo point 4 ambazo ndio minimum kwa TCU. Kwa UDSM masomo ya Arts minimum in point 5, kwa hiyo usiombe UDSM. Hata hivyo vipo vyuo vingine vingi, angalia kitabu cha TCU au prospectus za vyuo husika. Nakutakia kila la kheri.
  5. M

    Sakata la Vyeti: Waziri Palamagamba Kabudi atajwa kuwasilisha vyeti pungufu

    aliwakilisha vyeti vya degree hajawakilisha vya sekondari vyote form IV na VI
  6. M

    Sakata la Vyeti: Waziri Palamagamba Kabudi atajwa kuwasilisha vyeti pungufu

    Msifiche column ya mwisho! Hajatajwa kuwa na vyeti feki bali kuna vyeti havijawakilishwa (Incomplete submission). Hilo limekuwa ni tatizo kwa wasomi wengi wa zamani kutambua vyeti vyao vya sekondari vilipo.
  7. M

    UDSM admissions round 2

    Ooh! Sorry niliangalia file la round 1. Basi ulizia TCU unaweza kuwa umepangwa kwingine maana haupo kwenye list ya UD
  8. M

    UDSM admissions round 2

    Mbona ipo mkuu, angalia UD078
  9. M

    UDSM admissions round 2

    Round 2 UDSM imetoka, Source: nenda kwenye website www.udsm.ac.tz Kisha angalia Announcements
  10. M

    Admission letters za UDSM

    Subiri tangazo
  11. M

    TCU wanazingua

    Hongera! Yapo majina yaliyoongezwa kwenye round ya kwanza kwa hiyo utakuwa mmojawapo. Hata hivyo pata uhakika toka TCU
  12. M

    UDSM rudisheni pesa za watoto wa kimasikini mlozipokea

    Warudishe pesa gani? Chuo hakipewi pesa zozote kwa kuletewa wanafunzi! Unalipa pale unapofanikiwa kupata udahili. Kama hujapata udahili na una mkopo unabaki bodi ya mikopo. UDSM wamekuwa wakijibu haraka sana kila majina yanapopelekwa. Majina yaliyokataliwa mwishoni yalichelewa sana kupelekwa chuoni.
  13. M

    TCU waweka round ya nne!

    Kama unataka kuomba transfer usijisajili kwenye chuo ulichopangwa! Taratibu za trasfer zitatolewa kwenye website ya TCU. Tafadhali pendeni kuthibisha habari za JF kwenye vyanzo rasmi vinginevyo unaweza kukosea!
  14. M

    UDSM imeachia round 4 & 5

    Round 1 na 2 zilitoka pamoja ndio maana iliyofuatia ilikuwa round 3 na sasa round 4 na 5. Kama profile inaonyesha ulichaguliwa UDSM na jina lako halipo basi yawezekana jina lako limerudishwa TCU kwa sababu ya kukosa vigezo au bado halijapelekwa UDSM.
  15. M

    UDSM yaachia Batch 2 first year 2015/2016

    Joining Instructions zipo kwenye website kama ulivyoelekezwa, pamoja na medical examinations forms. Unachotakiwa kuchukuwa chuoni ni barua za admissions tu na zinapatikana main campus. Kumbuka ni kwa wale tu walioko Dar es Salaam au maeneo ya karibu, walioko mbali wanaweza kuchukua barua...
Back
Top Bottom