Kwel utumbuaj lazma uwakuteTCU majipu tena yanayo hitajika kutumbuliwa Leo ud wanatoa second selection haliakuw first round chuo kilijaaa na watu wakatemwa huu ni uhuni wa kusunbua wanafunz
sio mbaya umechangia hoja nawe though sio mahala pake,ila si uhur unao.honger bhnaViboko punguzeni
Uyo haelew achana nae atakupotezea mda na nina was was atakua kachaguliwa apo na three yake ya kubahatisha
Mbona ipo mkuu, angalia UD078kuna kozi inaitwa Agricultural and natural resources economics and business niliiomba siioni hapo. au na yenyewe imekosa second selection ?
Wewe acha ujingaaaa.Tena wamechukuliwa watu wenye vigezo vya KAWAIDA sana..!
Sasa sijui wamefanyaje...
Anyways, nafikiri hayanihusu..!
Nawewe acha up.umb.avuMkuu nilkua nina two ya kum nmeachwa apo .
Alaf nmekosa na first round leo hii wamechukuliwa watu wengne alaf weng n two ya 12 na three.
Yan apo ndipo ninapo umia kichwa kuhusu utendaj wa tcu
Duuuh ila kwel Mkuu huu msako ulikua kwa wote.Nawewe acha up.umb.avu
mlikua mkiambiw kuna kitu compttn mlikua mnajaza tuu.
Kuna mtu aliapata two ya mwsho akaomba MD zote nkamwambia aombe MD mbili za mwanzo then tatu za mwsho achanganye koz kama nursing , medical lab na optometry ila akikataaa akisema alizaliwa kuwa Doctor nkamwmbia sawaa. Leo kakosa vyotee.
Dogo...Wewe acha ujingaaaa.
hujui kama kuna kitu kinaitwa competition.
wewe mfano umesoma pcb umepata DDD alafu unaomba MD choices zote tano.
unataka aaachwe T.O upewe wewe.
Na ww ungeomba fisheries udsm,food sciences udsm,environmental ya sua au education ST JOHN ucngeachwa.
uliomba kwa kutaka sifa sasa utaijutia maishaaa.
Ooh! Sorry niliangalia file la round 1. Basi ulizia TCU unaweza kuwa umepangwa kwingine maana haupo kwenye list ya UD
mbna haikubali kufunguka iyo kitu mkuu?kama umeshaguliwa udsm first year download hii kitu ambayo utakufanya ukijue chuo vizuri na mwongozo wote wa chuo chote link hii hapa UDSM ALMANAC UDSM ALMANAC | TZNEWS