Mpambalachuma
JF-Expert Member
- Apr 4, 2015
- 362
- 44
nmegundua ktu upendeleo unafanyika kwa watu wa tcu,kama majna yamepelekwa tang tarehe 12 tcu bdo tu wanawapa kipaumbele sx cz batch four tcu ilkua kabla ya hyo tarehe na udsm wameshatoa hya kwel majanga .kunakutoswa sio kla alieptia tcu yupo vzur kuliko alieptia nacte.n changamoto tu za kmaisha ndio maana kla mtu anatoka kvyake.real thz z not fair
Sasa tufanye nini ndugu, maana Hali tete