namtetea rachel kwa hili. rachel alikua akicomment kwenye page zinazomtukana mange the same way ambavyo mange alikua akimmention na kuachia comments uturn. kumbuka hawa wawili rachel na mange wanagombana na kuchafuana since hi5 hawajaanza leo ugomvi wao hauishagi unapoa tu. rachel ametulia sana...
kila nikinunua kifurushi kabla hata sijakitumia wanantumia message kwamba nimetumia 90% of it na huwa nazima data kabla sijajiunga hao call agents ndo kabisa dont bother nilikua na tatizo airtel money i called 100 times skupata msaada mpk nikaenda moroco napo bado walikua wana attitude hao csr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.