Recent content by Mareth

  1. Mareth

    Mlio katika ' long distance relationship ' msidanganyane na ukweli ni kwamba kwa 99.999% wote huwa ' mnasalitiana ' huko mbali mliko!

    Write your reply...Sio kila mtu yuko hivo, kama huwezi kumsubiri mwenzio wengine wanaweza. Hiyo ni tabia ya mtu mmoja mmoja na si wote.
  2. Mareth

    5 benefits of dating a rich guy

    Hahaaa wewe born-town utawakubali watoto wa huku kijijini?
  3. Mareth

    5 benefits of dating a rich guy

    Pole.... Vp nikutafutie huku au utakomaa na hao wapenda pesa?
  4. Mareth

    5 benefits of dating a rich guy

    Pacha, achana na hao wa mjini uje kuoa huku kijijini kwetu maana wadada wa huku hawaangalii pesa bali mapenzi ya dhati
  5. Mareth

    If your life was a book, What would the title be?

    Pacha inaelekea u mcha Mungu
  6. Mareth

    If your life was a book, What would the title be?

    Hata sielewi pacha wangu
  7. Mareth

    New member

    Kumbe umeshamuona muoga sasa kwanini unamzidishia hofu badala ya kumwondolea hofu ili ajisikie yupo nyumbani?
  8. Mareth

    If your life was a book, What would the title be?

    "A STONE IN MY SHOE"
  9. Mareth

    New member

    Usimtishe mgeni wetu bwana. Karibu mwaya mgeni wetu. Ujisikie uko nyumbani.
  10. Mareth

    Kuna vitu vinakera: Viatu vina matope

    Nitakuja ila usije kunianzishia thread humu eti nilikuchafulia gari mpaka ukaamua kunifuta miguu
  11. Mareth

    Aina za hasira za wanawake

    Bahati nzuri sana huwa sikasiriki kirahisi. Kwahiyo ukitaka kunikera ujipange kwelikweli
  12. Mareth

    Kuna vitu vinakera: Viatu vina matope

    Huo usamaria wema wako unaufanya kwa kila mtu au utaufanya kwangu tu?
  13. Mareth

    Kuna vitu vinakera: Viatu vina matope

    Yaani nikatae lift ya gari nije kupanda lift ya baiskeli? Hahahah asante ndugu,wacha nipambane na tope langu
Back
Top Bottom