Hizo ndio tathmni za kisomi sio mtu anasema tu tumeshinda kata 16.Cha kushangaza ccm wamekuwa vipofu hadi maproffesa wao wanashangilia baada ya kusikitika.Sikio la kufa.....
Kuna huyu jamaa anaitwa kunduro bompwa anaharibu mada maana hajui hataachokiandika.hivi ukibishana na huyu jamaa naona unapoteza muda.mzee mwanakijiji msamehe tu kuna watu wapo duniani lakini hawajui kwa nini wapo
Huwa nashindwa kuchangia maana kuna watu wana id zaidi ya tano we angalia hata comment zao.hivi unajisiaje unapochangia pumba pekeyako page nzima na kujijibu.hata kama umetumwa inachosha sana
Nimemdharau sana Yahya Mohamedi hii yote ni kutokana na aina ya watangazaji tulionao.Amekuwa na fikra mgando kiasi kwamba anaona watu muhimu ni hao hao ambao wanauwezo mdogo kiuchambuzi.Sikulaumu pengine ni maagizo toka kwa bosi wako maana ulikuwa unafurahi pumba za akina Ruuza.Ilitokea baati...
Mbona Nape anashindwa kujibu hoja.Mimi nasikitishwa na kauli za Nape lazima ziwe na kejeri, kwa sisi wasomi mtu hata kama humpendi vipi lazima uheshimu elimu yaka.Kama ni Dr utamuita Dr kama ni professor Utamuita ivyo.Kwa kauli kama hizo za Nape mimi napata mashaka na vyeo mnavyopewa.Nikiangalia...
Ila mimi nikifikilia vitu anavyoandika huyu jamaa huwa najiuliza kama mzima kiakili hata kama huna kazi ya kufanya changia tu uzi wa wenzako kuliko pumba kama hizi.Mbona wenzio wanaandika mambo ya msingi ya kulimishana mfano akina Mzee mwanakijiji na wengineo.Siasa za kizamani kuchukua mda...
Hakuna wakati ambapo ofisi ya DPP inachezewa kama wakati huu.Kwa mtu yeyote mwenye ufahamu form six anaweza akajua sifa ya mtu kuwa gaidi anatakiwa aweje na awe ana malengo gani?.Ilikuwa haiitaji mwanasheria kwa sababu ofisi ya DPP ilikosea toka mwanzo na kwa vyovyote vile mahakama kuu ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.