UCHU
KASHESHE
XIII
Huyu Willy Gamba lazima atakuwa
kaingia hapa, hatujui kapita njia ipi na
yuko sehemu gani?", Nkubana
alimwambia Col. Gatabazi kwa njia ya
radio.
"Haiwezekani, hakikisha kwanza", Col.
Gatabazi alijibu kwa hofu.
"Hakika ni yeye Willy Gamba, tumekuta
sehemu imechimbwa...