Recent content by marcoveratti

  1. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Ni Dunia ya Jude, na Wote Tunaishi Humo

    Kuna nyakati chache katika historia ya soka ambazo dunia haichagui kwa kura, bali inakubaliana kimya kimya. Hakuna mkutano unaoitishwa, hakuna tangazo linalosomwa, lakini macho ya mamilioni ya watu huanza kuelekea sehemu moja. Ni kama vile mchezo wenyewe unasema: "Tazameni huku, kuna jambo...
  2. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Ballon d'Or haitupi Mchezaji bora mara zote

    sre
  3. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Ballon d'Or haitupi Mchezaji bora mara zote

    Kila mwaka, Dunia ya soka husimama kwa dakika chache. Sio kwa sababu kuna fainali ya Kombe la Dunia, Sio kwa sababu kuna Clasico, wala sio kwa sababu kuna usiku mwingine wa kichawi wa Ligi ya Mabingwa ulaya. Ni kwa sababu kuna tuzo, usiku ambao furaha ya mmoja hugeuka hasira ya mamilioni ya...
  4. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Utata wa DNA Wamfikisha Jérémy Doku Kwenye Talaka?

    umekula?
  5. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Utata wa DNA Wamfikisha Jérémy Doku Kwenye Talaka?

    Mitandao ya kijamii imesheheni madai yanayodai kuwa nyota wa Manchester City na timu ya taifa ya Ubelgiji, Jérémy Doku, amefungua talaka dhidi ya mke wake Shireen baada ya kile kinachodaiwa kuwa matokeo ya kipimo cha DNA. Hata hivyo, Sasa hakuna ushahidi au taarifa kutoka kwa vyombo vya habari...
  6. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    kwasababu watu walikua wana shangilia sanaaaa kupita kiasi
  7. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Baada ya kishundwa kutuvuruga kwenye skukuu zetu za kitaifa , sasa wame hamia kwenye matukio ya burudani sasa mtu mzima na akili zake anakuja na hoja kwamba MWANA FA amzomewa kitu ambacho zio kweli , unaweza kuona mwenyewe jinsi hawa watu walivyo desperate kutu ingiza kwenye propaganda zao za...
  8. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Biashara Yako Bado Haina Website? Wateja Wengi Wanakutafuta Mtandaoni na Hawakupati! Website Kamili Kwa Tsh 300,000 Tu (Domain + Hosting Vimejumuishwa

    Tusiwe tunaweka comment za kuharibu biashara za watu, kama hauko interested basi usi discourage , AI haina uwezo wa kutengeneza website inaweza kutengeneza materials ya kukufanya upate website eg front end design na template Database design hivi vitu vyote vinahitaji developer kuanza...
  9. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Kwa Nini Marvel Inaonekana Bora Kuliko DC Katika Ulimwengu wa Filamu

    Kwa zaidi ya muongo mmoja, Marvel Studios imefanikiwa kujijenga kama kampuni inayoongoza katika utengenezaji wa filamu za mashujaa duniani. Ingawa DC ina baadhi ya wahusika maarufu zaidi kuwahi kuundwa kama Batman, Superman na Wonder Woman, bado Marvel imeweza kutawala soko la filamu kwa kiwango...
  10. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Natengeneza Website na Apps(Mobile na Desktop) bei chee

    Hapo kwenye “bei chee ndio ulipo haribu” “NATENGENEZA WEBSITE NA MOBILE APPS CLEAN AND PROFESSIONAL” somehow ingake more sense
  11. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Unpopular Opinion: Arsenal hatoshinda taji lolote msimu huu

    its always happening
  12. marcoveratti

    JamiiForums Tanzania Kwanini biashara, taasisi au kampuni yako haina tovuti?

    Kwenye ulimwengu huu wa Internet, na karne hii ya watu wanaontumia 80% ya siku nzima online na mitandaoni ni dhahiri kwamba Huko ndio sehemu potential zaidi kupata wateja .. Ila kwa hali isio ya kawaida Kampuni nyingi na biashara nyingi za kati na kubwa hua jazina tovuti hadi email wanatumia...
Back
Top Bottom