Recent content by marcoveratti

  1. marcoveratti

    Kwanini biashara, taasisi au kampuni yako haina tovuti?

    Kwenye ulimwengu huu wa Internet, na karne hii ya watu wanaontumia 80% ya siku nzima online na mitandaoni ni dhahiri kwamba Huko ndio sehemu potential zaidi kupata wateja .. Ila kwa hali isio ya kawaida Kampuni nyingi na biashara nyingi za kati na kubwa hua jazina tovuti hadi email wanatumia...
  2. marcoveratti

    Waziri wa Uingereza ampa Rais wa China mpira wa goli la CUNHA na DORGU kama zawadi

    Katika Ziara ya Kikazi ya Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer chini China alipokutana na Mwenyeji wake Rais wa China Xi Jinping amempa Mpira Uliotumika kwenye Mechi ya Ligi kuu kati ya Arsenal na Man United Lakini Kipekee akamzawadia Mipira ambayo ilitumika kupatikana kwa bao la Cunha na...
  3. marcoveratti

    Nimejiridhisha Habila & Khabil ni kanjanja

    Wame tangazq wapi lete tangqzo
  4. marcoveratti

    Nimejiridhisha Habila & Khabil ni kanjanja

    mna tukana ure ila hana lolote
  5. marcoveratti

    Nimejiridhisha Habila & Khabil ni kanjanja

    Niseme tu ukweli bwana mdogo ilivahi kidogo sana name niingie kwenye mtego wake wa kumuamini ila kwasbabu nili zaliwa smart nika set tsrget zangu ili nijirodhishe kuwa ana choongea ana kijua au ni mtu wa ku ropoka . ila kutokana na kuto timia na kuonekqna dhahiri kwa mambo alio kuwa akiahidi na...
  6. marcoveratti

    Ina maana hana taarifa za utekaji?

    Hotuba nzima sijaskia suala la utekaji likizungumzwa licha ya kuwa moja ya ajenda kuu za watu walioandamana siku ya Uchaguzi Ameongelea katiba Japo majibu hayaridhishi ila walau ameongelea Ameongelea Serikali iliyopo kung'oka madarakani, kimsingi sijaridhika na alicho sema ila najua ilikuwa...
  7. marcoveratti

    KUNA UMUHIMU WOWOTE KWA RAIA KUWAPENDA AU KUWA HESHIMU JWTZ?

    Jambo baya linalo endelea mtaani ni kwamba wananchi wana lidharau sana Jeshi lao kwa sasa Jeshi linaonekana kamq wasaliti wasio na msimamo kama walivyo paswa kuwa .. Raia kwa miaka mingi wana chukulia jeshi ni mkombozi wa wanachi hasa kukiwa na udharimu unafanywa na serikali pamoja na polisi...
  8. marcoveratti

    PostGE2025 Polisi: OCD Chunya hana mamlaka kuzuia bajaji na bodaboda kununua petroli zaidi ya lita 2, tunafuatilia ikijulikana ni kweli atachukuliwa hatua

    Siku ya kuna video ya OCD chunya akizungumza na waandishi wa habari kuwa huko chunya boda boda na Bajaji kuuziwa mafuta iwe mwisho lita 2. Kwanza niwatoe shaka na uvumi huu kuwa hauna mashiko yoyo upuuzwe kwani video ile si video halisi bali ni AI kamq ukiitazama vema utagundua au unaweza ku...
  9. marcoveratti

    PostGE2025 Polisi: OCD Chunya hana mamlaka kuzuia bajaji na bodaboda kununua petroli zaidi ya lita 2, tunafuatilia ikijulikana ni kweli atachukuliwa hatua

    Jeshi la Polisi Tanzania limetoa taarifa kwa umma kufuatia kusambaa kwa maelezo mtandaoni kuhusu Mkuu wa Polisi Wilaya ya Chunya (OCD) alitoa maelekezo kwa waandishi wa habari kuhusu kiwango cha mafuta kinachopaswa kubebwa na vyombo vya usafiri kama Bajaji na Boda boda kuelekea Disemba 9. Kwa...
  10. marcoveratti

    Sasa hali ni shwari, tujenge nchi yetu

    Sio polusi andika vizuri
Back
Top Bottom