Recent content by Marcostilone

  1. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Katika Amri 10 za Mungu Watanzania wamekana na Usizini lakinI SABATO haiwahusu wacha Mungu

    Mambo ya imani ni pure confusion, KKKT wanasema Jumapili ni siku ya kufurahi ukombozi, Wasabato wanasema Jumamosi ndo dili, Waislamu nao wana mchongo wao wa Ijumaa. Mwisho wa siku kila mtu atafungua akaunti yake ya mbinguni, tutakutana mbele kwa mbele.
  2. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Onyesha ni wapi hoja yangu haifuati mantiki badala ya kujificha nyuma ya maneno makubwa unayoyajua maana yake nusu nusu.
  3. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Uchawi ni sayansi na maarifa yaliyofichika yanayotumia nishati ya asili na nguvu za kiroho kubadili uhalisia bila kufuata sheria za kifizikia unazozijua wewe.
  4. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Kama ninalala na jini mahaba kila siku lakini bado naamka na genye maana yake huyo jini mahaba wako hajui kuturidhisha vizuri.
  5. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Acha kujifanya Thomaso wa karne ya 21, uhakika unaoutaka wewe unaishia kwenye mipaka ya macho yako tu. Dunia haisubiri wewe uelewe ndio iwepo. Unaishi kwa kukariri machapisho ya wazungu huku ukisahau kuwa misingi mikubwa ya quantum physics yenyewe inakiri uwepo wa nguvu msizoweza kuziona au...
  6. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania WAKILI MAARUFU MADELEKA KUPEWA KESI YA UGAIDI ?

    Tanzania ya sasa kila mtu ni gaidi mtarajiwa, inategemea tu umeamkaje siku hiyo.
  7. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa yuko sahihi kuhusu Mabasi makubwa DSM, ni kero kwenye barabara za jiji.

    Ni lazima jiji liweke sheria ngumu ili kurudisha nidhamu ya barabarani, otherwise foleni za Dar hazitaisha wala kupungua.
  8. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Asusiwa chakula msibani kisa huwa hali kwenye misiba ya wengine

    Binadamu tunategemeana.
  9. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Profesa aliyejiuzulu chuo cha Cambridge, Jason Arday akutwa amefariki ndani

    Mfumo wa elimu ya juu wa mabeberu bado una ubaguzi wa kimfumo.
  10. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    Wanatuona kama the luxury beggars.
  11. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri wa UDOM, Dkt. Kaijage akatiwa Umeme, Maji baada ya kupewa kesi ya Ugaidi

    Serikali inafanya mambo ya kitoto sana!
  12. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Sarakasi za usafiri wa umma Dar ni ishara tulivyo na viongozi wenye upeo mdogo sana.

    Shida ni kwamba viongozi wetu hawajui maana ya modern city layout.
  13. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Rasilimali Watu Ndio Uwekezaji Mkuu wa Taifa, Aibua Falsafa ya Mwalimu Nyerere

    Kivipi? wakati sifa zote za sekta binafsi huwa zinaishia kuwanufaisha matajiri wachache huku akina kajamba nani wakiambulia patupu.
Back
Top Bottom