Hujakosea hata chembe ndugu yangu. Hizo wanazoita surprises ni uvivu tu wa watu kutofuatilia details. Kila mtu anavuna alichopanda, hakuna cha ziada. Ni hesabu fupi sana ya logic versus wishful thinking.
Facts tupu mzee, hii tabia ya victim mentality ndio ugonjwa wetu mkuu waafrika. Kila tunapofeli kiuchumi au kisiasa, haraka sana huwa tunatafuta mchawi wa nje mara mabeberu, mara benki ya dunia. Lakini huwa hatujiulizi, hawa viongozi wetu weusi wanaoficha mabilioni kwenye akaunti za nje huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.