Haukuwa na strategies za kulinda mtaji wako, ndiyo maana ukaaishia kupoteza pesa yote hiyo.
Kwa huo mtaji ulikuwa na uwezo wa kuwa unatafuta 10000 tu au 20000 kwa siku , na ingewezekana kabisa hata kama usingekuwa una win kila siku, but kwa week naamini kabisa kumpiga mara 4 n.k ingewezekana...
Hiyo laki moja ilipaswa uifanye kama mtaji, na siyo kuistake yote kwenye game moja, kwa odds ndogo, kama 2-3, unapaswa kustake asilimia 5-10 tu ya mtaji wako, hata kama utapoteza unakuwa na nafasi ya kujipanga upya.
Kiufupi ukienda na hiyo njia ya kustake kwa kuzingatia kulinda mtaji wako...
Ni wewe ndiye unayeamini hivi, lakini nimeshakutana na watu ambao walifiwa na wapendwa wao na hawakutoa hata chozi kwenye msiba, na maisha yao yaliendelea kama kawaida.
Kawaida tu, ubongo hauwezi kubeba maumivu makali kwa kiwango kile kile kwa muda wa masaa 24.
Watu huwa hatupokei grief kwa njia moja, kuna kitu kinaitwa grief response variability, ile hali ya watu kushughulikia mshtuko kwa mitindo tofauti kabisa.
Wengine huwa wanalia, wengine huwa silent n.k wapo ambao badala ya kukaa na maumivu huwa wanaamua kutafuta stimulation au distraction...
Mbona kuna nchi nyingi tu zinatoa passport kwa majina mawili tena bila shida yoyote?
Tatizo ni la mfumo lakini unataka kulifanya lionekane ni la wananchi.
Nadhani utakuwa hata hauelewi mantiki ya kile tunachokijadili hapa.
Hapa tunajadili ulazima unaowekwa kwa mtu kuwa na majina matatu, kama mtu amechagua au ameandikishwa kwa majina matatu sawa, lakini kama anatambulika kisheria kwa majina mawili tangu utoto wake mpaka utu uzima wake, hakuna...
Kilaza ni wewe usiye jua kusoma kwa ufahamu, hoja yangu ni kuhusu utambulisho wa kisheria, wewe umehamia kwenye historia ya ukoo halafu unaona umeandika jambo sahihi.
Watu wengi duniani wana majina mawili na bado wanajua wazazi wao, babu zao na chimbuko lao, Kuwa na ukoo siyo lazima...
Kama ni uzembe wa wazazi, kwanini serikali ilikubali vyeti vya shule, chuo, passport na nyaraka nyingine kwa majina hayo hayo kwa miaka yote?
Ina maana hauoni kama tatizo ni la mfumo zaidi hapa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.