Mambo ya imani ni pure confusion, KKKT wanasema Jumapili ni siku ya kufurahi ukombozi, Wasabato wanasema Jumamosi ndo dili, Waislamu nao wana mchongo wao wa Ijumaa. Mwisho wa siku kila mtu atafungua akaunti yake ya mbinguni, tutakutana mbele kwa mbele.
Uchawi ni sayansi na maarifa yaliyofichika yanayotumia nishati ya asili na nguvu za kiroho kubadili uhalisia bila kufuata sheria za kifizikia unazozijua wewe.
Acha kujifanya Thomaso wa karne ya 21, uhakika unaoutaka wewe unaishia kwenye mipaka ya macho yako tu.
Dunia haisubiri wewe uelewe ndio iwepo. Unaishi kwa kukariri machapisho ya wazungu huku ukisahau kuwa misingi mikubwa ya quantum physics yenyewe inakiri uwepo wa nguvu msizoweza kuziona au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.