Recent content by Marcostilone

  1. Marcostilone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipo Dar: Nitajuaje huyu demu sio Chura au ni Chura

    Kwa mtazamo wangu ni useless.
  2. Marcostilone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnaowaita ombaomba wana maisha mazuri kuliko nyie

    Kwanini na wewe usianze kuwa omba omba kwao?
  3. Marcostilone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nipo Dar: Nitajuaje huyu demu sio Chura au ni Chura

    Mbona naona umeandika utoto sana mkuu.
  4. Marcostilone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nikasema nijaribu kutembea na market ya kuzuia magoli kwa game za argentina jana kama kujifurahisha tu.
  5. Marcostilone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Haukuwa na strategies za kulinda mtaji wako, ndiyo maana ukaaishia kupoteza pesa yote hiyo. Kwa huo mtaji ulikuwa na uwezo wa kuwa unatafuta 10000 tu au 20000 kwa siku , na ingewezekana kabisa hata kama usingekuwa una win kila siku, but kwa week naamini kabisa kumpiga mara 4 n.k ingewezekana...
  6. Marcostilone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hiyo laki moja ilipaswa uifanye kama mtaji, na siyo kuistake yote kwenye game moja, kwa odds ndogo, kama 2-3, unapaswa kustake asilimia 5-10 tu ya mtaji wako, hata kama utapoteza unakuwa na nafasi ya kujipanga upya. Kiufupi ukienda na hiyo njia ya kustake kwa kuzingatia kulinda mtaji wako...
  7. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia, ni kawaida mtu kuopoa demu siku ambayo mzazi wake amefariki?

    Ni wewe ndiye unayeamini hivi, lakini nimeshakutana na watu ambao walifiwa na wapendwa wao na hawakutoa hata chozi kwenye msiba, na maisha yao yaliendelea kama kawaida. Kawaida tu, ubongo hauwezi kubeba maumivu makali kwa kiwango kile kile kwa muda wa masaa 24.
  8. Marcostilone

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mademu wa Russia vs Brazil: Nani Wanaongoza Kwa Uzuri wa Asili?

    Kabla ya kuja na hitimisho, lazima uwe na exposure ya kutosha kwa hayo maeneo yote, unless otherwise tutadanganyana tu hapa.
  9. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia, ni kawaida mtu kuopoa demu siku ambayo mzazi wake amefariki?

    Watu huwa hatupokei grief kwa njia moja, kuna kitu kinaitwa grief response variability, ile hali ya watu kushughulikia mshtuko kwa mitindo tofauti kabisa. Wengine huwa wanalia, wengine huwa silent n.k wapo ambao badala ya kukaa na maumivu huwa wanaamua kutafuta stimulation au distraction...
  10. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Mbona kuna nchi nyingi tu zinatoa passport kwa majina mawili tena bila shida yoyote? Tatizo ni la mfumo lakini unataka kulifanya lionekane ni la wananchi.
  11. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Nadhani utakuwa hata hauelewi mantiki ya kile tunachokijadili hapa. Hapa tunajadili ulazima unaowekwa kwa mtu kuwa na majina matatu, kama mtu amechagua au ameandikishwa kwa majina matatu sawa, lakini kama anatambulika kisheria kwa majina mawili tangu utoto wake mpaka utu uzima wake, hakuna...
  12. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Kilaza ni wewe usiye jua kusoma kwa ufahamu, hoja yangu ni kuhusu utambulisho wa kisheria, wewe umehamia kwenye historia ya ukoo halafu unaona umeandika jambo sahihi. Watu wengi duniani wana majina mawili na bado wanajua wazazi wao, babu zao na chimbuko lao, Kuwa na ukoo siyo lazima...
  13. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Kwa ninayoyaona target ya nyoka pale bustanini haikuwa mwanamke

    Kosa kwenye hiyo simulizi lilikuwa ni uchaguzi mbaya. Kwani Eva alimshikia bunduki Adamu kumlazimisha ale tunda?
  14. Marcostilone

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Kama ni uzembe wa wazazi, kwanini serikali ilikubali vyeti vya shule, chuo, passport na nyaraka nyingine kwa majina hayo hayo kwa miaka yote? Ina maana hauoni kama tatizo ni la mfumo zaidi hapa?
Back
Top Bottom