Recent content by Marcostilone

  1. Marcostilone

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Umoja wa hisia ni kushirikiana furaha na huzuni basi, hakunaga kushirikishana uchafu.
  2. Marcostilone

    Ni zipi faida za kuvuta sigara?

    Pia mvuta sigara ni rafiki wa mazingira, anatengeneza mbolea ya haraka sana kwa sababu hatumii muda mrefu kuwepo hapa duniani.
  3. Marcostilone

    Anayejua haya matunda ya Shokishoki yana maajabu gani mbona zinauzwa bei juu hivi?

    Huko zenji hayo ni kama fashion, watu wananunua ili wapige nayo picha, umuhimu wake ni yana vitamini c tu basi.
  4. Marcostilone

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    Kama kila unayekutana naye anatoa harufu mbaya basi shida ni standard zako za kutafuta au mazingira unayookota hizo pisi. Sisi tunaojua kuchagua tunakutana na harufu ya vanilla na strawberry mwanzo mwisho, usitusemee wote, jiongelee wewe mwenyewe.
  5. Marcostilone

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Ni kuwa na umoja wa hisia na malengo.
  6. Marcostilone

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Nashindwa kuwaelewa wote mnaouliza swali lisilo na logic kama hili. Oftenly denda inafanyika wote mkiwa kwenye hali ya usafi labda kama wewe na mwenza wako huwa mnanyonyana hivyo hivyo na uchafu wenu mkiamka asubuhi. Hauwezi kushare na mtu kitu ambacho wewe unatumia kutolea takataka zako...
  7. Marcostilone

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Hata kama ulale umeswaki, mdomo una mamilioni ya bakteria wa asili ambao ni mali binafsi ya kila mtu. Mswaki ni fagio la vyoo vya mdomoni, huwezi kutumia fagio la mwenzio kusafisha kwako kisa tu mnataka kuonyeshana mahaba ya kijinga.
  8. Marcostilone

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Umeshindwa kuona utofauti hapo? Denda huwa ni baada ya usafi au kabla?, yani mtu ameamka na mabaki yake ya chakula, ayatoe kwa mswaki wake na wewe uje utumie huo huo mswaki? Hayo ni mahaba au ni kukosa akili?
  9. Marcostilone

    Mambo madogo madogo ambayo huimarisha upendo kwa wanandoa

    Hapo kwenye kutumia mswaki mmoja, hemu tuwe serious, tusikifie hatua ya kuanza kuazimana mpaka bacteria.
  10. Marcostilone

    Hivi unatumia AI kwenye kutafuta ushahuri wa haraka na dharula wa kitaalamu kwenye masuala mbalimbali ya kijamii kama afya, familia, biashara nk?

    Sometimes napenda kuuliza maswali yasiyo kuwa na kichwa wala miguu ili kupima upepo tu wa haya maroboti.
  11. Marcostilone

    Ushauri kwa wanaume?

    Bado anakaa kwa wazazi inaonekana 😂😂, ajitegemee kwanza ili awe shuhuda kuwa pesa wanaume tunatoa wapi za kufanyia starehe.
Back
Top Bottom