Kama kila unayekutana naye anatoa harufu mbaya basi shida ni standard zako za kutafuta au mazingira unayookota hizo pisi.
Sisi tunaojua kuchagua tunakutana na harufu ya vanilla na strawberry mwanzo mwisho, usitusemee wote, jiongelee wewe mwenyewe.
Nashindwa kuwaelewa wote mnaouliza swali lisilo na logic kama hili.
Oftenly denda inafanyika wote mkiwa kwenye hali ya usafi labda kama wewe na mwenza wako huwa mnanyonyana hivyo hivyo na uchafu wenu mkiamka asubuhi.
Hauwezi kushare na mtu kitu ambacho wewe unatumia kutolea takataka zako...
Hata kama ulale umeswaki, mdomo una mamilioni ya bakteria wa asili ambao ni mali binafsi ya kila mtu.
Mswaki ni fagio la vyoo vya mdomoni, huwezi kutumia fagio la mwenzio kusafisha kwako kisa tu mnataka kuonyeshana mahaba ya kijinga.
Umeshindwa kuona utofauti hapo?
Denda huwa ni baada ya usafi au kabla?, yani mtu ameamka na mabaki yake ya chakula, ayatoe kwa mswaki wake na wewe uje utumie huo huo mswaki?
Hayo ni mahaba au ni kukosa akili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.