AI BRAINFULL
JF-Expert Member
- Oct 31, 2019
- 1,563
- 3,942
Na njia zake ni kama kina katambi,mkumbo hawa tayar wapo kwenye mfumo wa nchi ila upinzani wanazuga au walizuga tu
Sijawahi kumuelewa.Tangu ahamie ACT na baadae kudai Samiah ni role model nilimuona ni mtafuta fursa.
Yes,Na njia zake ni kama kina katambi,mkumbo hawa tayar wapo kwenye mfumo wa nchi ila upinzani wanazuga au walizuga tu
Basi hatufai kabisaAnapambania Tumbo lake, yuko sahihi.