1. Syllabus ya Tanzania sidhan kwanza Kama ipo online kuelekeza topic za kusoma.
2. Haishindikan ila atatumia nguvu nyingi Sana
3. Kuna baadhi ya topic huwa hazina faida kwenye mitihan maana maswali yake huwa hayapo usipopata mwalimu wa kukuelekeza nayo itakuwa ngumu
4. Practical kama paper 3...
Mimi ni kijana wa miaka 30 saizi, sijaoa ila nina watoto wanne(4) ambao nimezaa na wanawake tofauti tofauti.
Nahitaji kuwachua watoto wangu wote nikae nao iwe kama familia yangu iliyokamika ila bila kuwa na mama zao wa aina yeyote.
Je kuna tatizo lolote litakaloweza kutokea baadae?
Yaani sijakuelewa umetolea povu gari, je limekusababisha ukaachwa na demu wako? uliona au ulijihisi umebabaikia gari? Hivi utajiri kwako unaupimaje! Wazo lako halijitosherezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaliyonikuta mie jaman sina ya kusemea, napenda niwajulishe na rafk zangu mtambue hasa nyie mtakaokuja kufanya kazi iringa mjini.
Ni miezi takribani 7 hivi tangu nimepata kazi kwenye taasisi moja binafsi hapa mjini iringa, tangu nianze kazi nimekuwa nipo busy Sana na kazi zangu ili kuiwezesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.