Recent content by Marco Polo

  1. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Huyo aliyeta Huyo aliyetapeliwa ni mwanzisha mada mwenyewe.
  2. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania SWALI: Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Kwahiyo hizo shule ukiwa mkristo unasoma bure? Hakuna waislamu wanaosoma hizo sehemu?
  3. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania SWALI: Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Zikishaongezeka ndio watamgawia ama ?
  4. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania SWALI: Kwanini wanawake na waislamu wanakadiriwa kuajiriwa zaidi na Utumishi(PSRS)?

    Kama akiajiriwa mkristo, ww kama mkristo unanufaikaje? Na kama akiajiriwa muislamu ww kama muislamu binafsi unanufaikaje?
  5. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Haya mambo mara nyingi mtendwa naye hutendewa, kama mwanaume unagonga nje basi jua na ww utagongewa na ikitokea umegongewa huna budi kusamehe ila kama hugongi nje basi hakuna kusamehe either ufukuze au ww mwenyewe uondoke Kwa amani eneo hilo mambo ya kukodi watu wamwage tope mtesi wako ni ujinga tu.
  6. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia anazindua Tume ya Rais ya Uchunguzi wa wahusika wa ghasia wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025

    Kwan ile tume si ilishasema watu hawakufa na hakuna kibaya kilichotokea? Upotevu wa pesa Ili kujisafisha Kwa mabeberu
  7. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeitwa kazini utumishi kama afisa usafirishaji, baada ya kuripoti naambiwa nafasi yangu kapewa mwingine sababu ya uhaba wa magari

    Nilishtuka nikafikir umeambiwa urudi nyumbani kumbe unabadilishiwa taasisi sasa shida Yako nini kijana? Kwan hata huko wanakokupeleka si unaenda kuwa afisa usafirishaji pia ama vipi?
  8. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Kabisa, ni masikitiko ila haya yote yamesababishwa na fucking serikali ya ccm
  9. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Kama Chadema hawataki Maridhiano CCM sii iliriadhane na Vyama 18 vilivyopo. Kuna haja gani ya kumsubiria "Mwenzao" waliyemfunga

    Chadema ndio chama kikuu cha upinzan dunia nzima inatambua hivyo hivyo vyama vingine ni vikaragosi ti
  10. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Marekani yamaliza 65% ya makombora kwenye vita ya Iran

    Kwan hayo makombora yanatokea mbinguni? Si yanatengenezwa na binadamu kama wewe ?
  11. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Kuajiriwa ni utumwa

    Na usiombe uajiriwe huku Tamisemi yaani mwenyekiti wa Kijiji, mwenyekiti wa ccm Kijiji naye anataka akutawale
  12. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania FT: South Africa 1-2 Tanzania( Twiga Stars) | Women's AFCON 2026 | 27 Julai, 2026 | Twiga Stars wanaondoka na alama 3

    Mtu anakiwasha nje ya nchi na hachaguliwi? Kuna tatizo Kwa tff.
  13. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mhadhiri wa Chuo Kikuu kupewa kesi ya ugaidi, Mgomo wa wafanyakazi UDOM wanukia

    Umri ukisogea zaid unakuwa mtoto
  14. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Wimbi la kesi za ugaidi litaathiri taswira ya nchi na sekta ya utalii kwa namna ambayo Serikali haikutarajia

    Nimeona BBB English eti muhadhiri wa Ufon aliyeshtakiwa Kwa maandamano Leo anaambiwa ni gaidi *** ccm
Back
Top Bottom