Hawa Houth hii sio kawaida kabisa lazima wamekuwa viwete jeshi Zima haiwezekan baba Yako ( Iran) anachezea kichapo alafu umetulia tu wakati mwanzoni mdogo wako ( Hamas) alivyogaragazwa uliingilia Kati.
Toka haya mashindano yanaanza kulikuwa na ishara za waziwazi za kuonyesha upendeleo Kwa Morocco naona Motsepe na timu yake wametuimiza nje ya uwanja baada ya kushindikana ndani ya uwanja
Mkuu komaa ndio sifa kuu ya mwanaume hata wakikuminya kende tunaomba usije ukatoa password tunakuweka kwenye maombi kuanzia sasa hao wapuuzi watashindwa tu.
Wameteka wakoasiji wakawaumiza na wengine kuwaua wakaona haitoshi wakamuweka ndani mpinzani mkuu wa CCM katika uchaguzi huu Tundu Lissu wakaona haitoshi na sasa wanafungia mitandao ya kijamii Ili taifa liwe kimya kama liko msibani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.