Haya mambo mara nyingi mtendwa naye hutendewa, kama mwanaume unagonga nje basi jua na ww utagongewa na ikitokea umegongewa huna budi kusamehe ila kama hugongi nje basi hakuna kusamehe either ufukuze au ww mwenyewe uondoke Kwa amani eneo hilo mambo ya kukodi watu wamwage tope mtesi wako ni ujinga tu.
Nilishtuka nikafikir umeambiwa urudi nyumbani kumbe unabadilishiwa taasisi sasa shida Yako nini kijana? Kwan hata huko wanakokupeleka si unaenda kuwa afisa usafirishaji pia ama vipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.