Hayo ndio mambo ya Tamisemi,ukipangiwa kufanya kazi huko uwe mvumilivu kweli kweli lasivyo unaweza kumpasua mtu ubongo.
Aendelee na majukumu yake aache kiherehere serikali haiitaji kusaidiwa Bali serikali ndio inatakiwa isaidie sasa yeye hizo Hela alizonunulia vifaa zilikosa matumizi ama...
Kuna mrembo mmoja wa kikurya alikuja geto nikawa nimeshapika wali nikamwambia nikatie kachumbari , nilivyomuona amechukua nyanya anaikata mara mbili tu yaan robo robo ndio tayar nikamwambia lete nikusaidie mama wewe vua nguo ujilaze kitandani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.