Recent content by Marco Polo

  1. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mchezaji Clara Luvanda huwa haitwi timu ya Taifa ya wanawake

    Ww jamaa!! sawa bwana
  2. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mchezaji Clara Luvanda huwa haitwi timu ya Taifa ya wanawake

    Tunamzunguzia Clara Luvanda na sio Barbra Banda,
  3. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mchezaji Clara Luvanda huwa haitwi timu ya Taifa ya wanawake

    Ww ndio umeleta kejeli, Mpira wa miguu unaongozwa na Sheria 17 za Fifa au unataka kusema caf Wana Sheria zao tofauti na hizo 17?
  4. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mchezaji Clara Luvanda huwa haitwi timu ya Taifa ya wanawake

    Mbona kama ww ndio una hormonal imbalance? Hizo hormones umeona ww tu? Huku uarabuni na marekani anacheza na wanaume?
  5. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Mbappé ajitosa katika kinyang’anyiro cha Ballon d’Or

    Siku hiz ukiangalia hamna wachezaji kabisa unaweza sema huyu anastahili hii tuzo yaan ni kubahatisha tu. Binafsi naona wampe Rodri au Yamaal
  6. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopigwa kocha wa Gabarone mashabiki au viongozi hawarusiwi kuwepo

    Sheria ya Fifa iliyotoka juzi inasema wapokwe ushindi
  7. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania KERO Askari Polisi wengi hatupati posho ya pango

    Na Bado subiri ukistaafu ndio tutajua maana ya neno KARMA
  8. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Wanaume kama mabinti! Konda wa daladala akiuliza iwapo kuna mtu anataka kushuka kituo kinachofuata, utasikia mwanaume mzima anasema, 'SHUSHAAA!' 🤮

    Tafuta ushauri wa kidakari kabla jua halijazama babu hii ni red flag
  9. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Ded-Kilindi Tanga amnyanyasa mwalimu mpaka aache kazi?Mh.Waziri mkuu ingilia kati suala hili.

    Hayo ndio mambo ya Tamisemi,ukipangiwa kufanya kazi huko uwe mvumilivu kweli kweli lasivyo unaweza kumpasua mtu ubongo. Aendelee na majukumu yake aache kiherehere serikali haiitaji kusaidiwa Bali serikali ndio inatakiwa isaidie sasa yeye hizo Hela alizonunulia vifaa zilikosa matumizi ama...
  10. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Japo Mungu Ndie Muumba wa Dunia Hii, Inawezekana ni Shetani Ndie Mtawala wa Dunia Hii?, Haiwezekani WaKweli Wana Sulubiwa Huku Mungu Anaangalia Tuu!

    Huo msemo wakwamba wanaokufa mapema ndio wema muuondoe kwenye vichwa vyenu maana Kuna mibaradhuli mingi tu imeshakufa.
  11. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Katika picha: Mkuu wa Majeshi ya Israel akielezea jinsi walivyoangamiza miundombinu ya kigaidi ya Hezbollah huko Ali Taher Ridge!!!

    Iran si alidai ataishambulia Israel endapo Hilo eneo la Hizbullah litabomolewa? Au ndio zilikuwa propaganda
  12. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo amtembelea Rais Samia Ikulu na kumfariji baada ya kufiwa na Mume wake

    Kwa mujibu wa Quran hiyo ni Sunna, Niko hapa masjid tawakal Zanzibar karibu uulize swali lingine.
  13. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Mdada unaolewa huwezi kupika wala kufua kiafrika, hii imekaaje?

    Kuna mrembo mmoja wa kikurya alikuja geto nikawa nimeshapika wali nikamwambia nikatie kachumbari , nilivyomuona amechukua nyanya anaikata mara mbili tu yaan robo robo ndio tayar nikamwambia lete nikusaidie mama wewe vua nguo ujilaze kitandani.
  14. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa viwango vinavyoonyeshwa na hizi timu kubwa naona kabisa tunaenda kulibeba Tena hili kombe
  15. Marco Polo

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Watu siku hizi hawana mapenz na hiz game kabisa yaan yanga inacheza Uzi uko page ya 6 tu
Back
Top Bottom