Recent content by Marco Polo

  1. Marco Polo

    Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

    Unahisi kwann aliyekuwa anaonyeshwa Kila mara ni huyo binti hapo juu na SI mwingine?
  2. Marco Polo

    Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

    Mtoto wa Kiume Kutumia emoji za kucheka Cheka sio ishara nzuri
  3. Marco Polo

    Marehemu Captain G Habash aliwahi sema binti yake ataolewa na tajiri tu

    Kwan ww hutaki binti Yako aolewe na tajiri? Kuzalia nyumbn kwa binti yake Kuna shida Gani? .Acha ujinga yaani umekaa siku nzima umeona hichi ndio Cha kuja kuandika humu?
  4. Marco Polo

    Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

    Tuhuma nzito mno wahusika watoke wajibu haya.
  5. Marco Polo

    Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

    I'm the proud to be the.....
  6. Marco Polo

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Inaonyesha ni namna Gani tulivyo primitive
  7. Marco Polo

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Utasikia wamemuua, hao jamaa akili zao wanazijua wao na mungu wao
  8. Marco Polo

    Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

    Kina kutu.
  9. Marco Polo

    RIP Gadner G. Habash, ila wengi waliokuja kwenye msiba wako hawakuja kuomboleza, walikuja kutikisa ili wa-trend

    Umesikia wapi? Huyo huyo unayedai alikataa kumpelekea baba yake chakula ndio binti yake pekee aliyejaliwa ambaye alikuwa anampenda sana
  10. Marco Polo

    Chakula hiki nimekipata kwa elfu 3000 tu

    Hicho kijiko ni macho yangu au nimeanza kuzeeka?
  11. Marco Polo

    Kunambi: Wakurugenzi wa Halmashauri wasiwe Wanasiasa, wapatikane kwa mchakato wa ajira

    Wakiwa nje ya teuzi wanakuwaga na mawazo chanya sana ngoja wapate teuzi sasa unaweza sema wamerogwa.
  12. Marco Polo

    Kauli ya 'Kata simu kwanza kuna mtu ananipigia' huwa unaichukuliaje?

    Ukiona hivyo ujue mlikuwa mnaongea ujinga kwahiyo Kuna mtu anataka kuongea naye issue serious Kisha akimaliza atakupigia muendelee mlipoishia na ujinga wenu
  13. Marco Polo

    Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Tena umshauri atembelee madukan ya lotion achague itakayomfaa asije akachanwa chanwa anal sphincters.
  14. Marco Polo

    Safari ya Majaribio ya Treni ya SGR na Viongozi wa Dini kutoka Dar es Salaam - Dodoma kwenye Dua na Maombi ya Kitaifa

    Wale ni wasomi huwezi kuwaendesha kibwege bwege, ukiangalia hiyo list ya hao viongozi hapo juu asilimia kubwa ni wa mchongo .
Back
Top Bottom