Recent content by Marco Polo

  1. Marco Polo

    Yemen's Houthi: Mkikiteka kisiwa cha Kharg, tunafunga mlango bahari wa Bab al-Mandab!.

    Hawa Houth hii sio kawaida kabisa lazima wamekuwa viwete jeshi Zima haiwezekan baba Yako ( Iran) anachezea kichapo alafu umetulia tu wakati mwanzoni mdogo wako ( Hamas) alivyogaragazwa uliingilia Kati.
  2. Marco Polo

    Namuonea huruma Abbas Aradgchi

    Nilichojifunza kwenye hii vita ni kwamba waarabu ni mabingwa wa propaganda
  3. Marco Polo

    Senegal wapokwa ubingwa wa AFCON 2025 na CAF, apewa Morocco

    Toka haya mashindano yanaanza kulikuwa na ishara za waziwazi za kuonyesha upendeleo Kwa Morocco naona Motsepe na timu yake wametuimiza nje ya uwanja baada ya kushindikana ndani ya uwanja
  4. Marco Polo

    Israel yasema imemuua Waziri wa ujasusi wa Iran, Esmail Khatib

    Idf being the best army in the world
  5. Marco Polo

    Mpaka sasa Iran na makombora yao wamefaulu kuua mama mmoja Israel

    Kobaz Kitu wanaweza ni propaganda tu pumbavu!! Where is Ayatollah?
  6. Marco Polo

    Wakazi wa Telaviv wapewa masaa 24 ya kuhama

    Wewe jamaa hujaponaga ukichaa mpaka leo?
  7. Marco Polo

    GE2025 Ombi: JWTZ tunaomba muingilie kati kinachoendelea nchini

    Jeshi Gani? Aliyekuambia nchi Ina jeshi ni nani?
  8. Marco Polo

    Je Mafwele ni Mtanzania?

    Ungeweka na pich a yake
  9. Marco Polo

    Aliyeko karibu na Polepole

    Kwan huyu Mafwele ni mnyama au binadamu? Ana uhakika wa kuishi milele sio?
  10. Marco Polo

    PICHA: Chumba ambapo Polepole alikuwa akirekodia, akionekana na Ile Black Screen nyuma

    Hivi jf si imefungiwa mpaka mwez wa 12? Hii ingekuwaje najikuta humu naomba kufahamishwa wadau
  11. Marco Polo

    Tunateleza na VPN sasa hapa JF

    Wanaishi kijima
  12. Marco Polo

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Mm sio mende mkuu naona una washwa washwa perianal sphincter.
  13. Marco Polo

    Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Mkuu komaa ndio sifa kuu ya mwanaume hata wakikuminya kende tunaomba usije ukatoa password tunakuweka kwenye maombi kuanzia sasa hao wapuuzi watashindwa tu.
  14. Marco Polo

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Wameteka wakoasiji wakawaumiza na wengine kuwaua wakaona haitoshi wakamuweka ndani mpinzani mkuu wa CCM katika uchaguzi huu Tundu Lissu wakaona haitoshi na sasa wanafungia mitandao ya kijamii Ili taifa liwe kimya kama liko msibani
Back
Top Bottom