Kwan nani asiyejua kuwa LEOPARD TOUR ni kampuni ya lowassa?
Machadema bakini na ujinga wenu.Na hiyo ni dalili tosha kwamba angeishika nchi,maskin tungetembelea matako.
Mungu ni mwema!!!
Magufuli bana hapohapo baba,naona sasa hata mabubu wanaongea...
Walidhani utatumia dola kuwafikia kumbe ww unacheza tu na channel
Yaan ww hatareee!
Hata cku moja shetani habadiliki malaika...ushauri huo sii wa nia njema...
Ipi hiyo ww?Tunakutaka ututhibitishie uhalai wa mikutano hiyo na pia ni shiguli gani walipanga kufanya,ndipo ufananishe na huu wa ccm kama hutoona tofauti kubwa.
Siwakatazi kwenda dodoma,pengine labda mna makusudio ya kujitoa makafara kwa kuitafuta dola.Na hao viongozi waliojificha migongoni...
Hapo hamna hoja yenye mashiko ya kunishawishi.Mikutano yote uliyoitaja hapo juu haikuwa na nia njema kwa taarifa za kiintelejensia na ndio maana mikutani yenu yenye tija kama;Ule wa CHASSO karemjee na ule wa CHASSO iringa,polisi hawakushulika dhidi yao na badala yake waliimarisha ulinzi kama...
Sion kama kuna mwenye future ndani ya BAVICHA.
Woote ni wavuta bangi,wala misuba na walevi uvibaraka,msipojiangalia mtaishia kubaya sana na hata mnachokilenga baadaye hata msikifikie.
Yaan kwa kidhani kwenu,kwamba yupo mwenye akili timamu akasikitishwa na matokeo mabaya ya huo ujinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.