Ndio nini !!!Mkuki kwa nguruwe ni mtamu kwa Binadamu ni mchungu
Natamani sana waende ili tuone jinsi baadhi watakovyo kuja ikumbuka hiyo sikuWaache waende ndipo watakapojifunza nidhamu ya democrasia kuwa kwenda kinyume cha seikali ni hasara
Utaekewa tuNdio nini !!!
Historia inaonyesha kwamba BAVICHA haijawahi kutania .Duh, ila kama wapo serious vileee...Chonde tu msiwe wajambishaji makamanda!
Sio bure utakuwa mkongo man.Utaekewa tu
Fuatilia vyama vyote vilivyokomboa nchi zao , havikucheka na wakoloni weusi wala wakoloni weupe , kwenye ukombozi hakuna mdebwedo .Tukicheka na CCM, kuingia Ikulu ni ndoto!
HeheheUtaekewa tu
Asante mkuu .Tunawatakia usaidizi mwema
Upo sawaSio bure utakuwa mkongo man.
...teh hee hee..keyboard warrior!...uende na wewe Dodoma,sio unawachuza wenzio!Utaekewa tu