Kiuhalisia janga hili zaidi limeathiri wajasiriamali wadogo wadogo, watumishi tuambueni mmeathirika kwa kiwango gani kama ni mwadilifu kazini, usije tuambia kuna ziada wakati unasubiria tar 30, naomba uzoefu bila povu
Mlima Kenya unalipa $80 x3= $240 na utakaa hifadhini kwa siku nne, tozo hiyo iko na malipo ya kupiga kambi, endapo unatumia vibanda malipo ni kati ya $12-$25 kwa siku. Hakuna msururu wa kodi au tozo zaidi. Huo ni mfano mojawapo tu. Mbugani pia hoteli zao zipo chini sana na zaidi ukitumia Manyata...
Binafsi nimeona kama Hifadhi ya mlima Kilimanjaro itapungua kwa kambi kutoka $50 na kuwa $35 hivi kama sikosei, inamaana ada za viingilio vitabakia kuwa vile vile ? Mwenye ufahamu zaidi atudaidie.
TRA wanatoa mashine bure kutegemea na aina ya biashara, wakijiridhisha biashara yako haina mtaji au uwezo wa kununua mashine, pia wanadai hata ukinunua kuna jinsi yakureshewa pesa wakimaanisha mashine ni mali ya TRA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.