Recent content by Mapolomoko

  1. Mapolomoko

    Nyalandu aanza kampeni kanisani, amhusisha Kikwete na majini

    Tumia hakili japo kidogo. kumbuka shehe YAHAYA (RIP) Alisema nini dhidi ya JK. na haijakanushwa na JK mpaka leo, au miaka hiyo ulikuwa haujazariwa?
  2. Mapolomoko

    Kwenye kanisa moja huko Ghana, hivi ndio wanavyofanya kuondoa mapepo ya ngono

    pepo la ngono toka toka tokaaaaaaaaaaaa sehemu za siri tokaaaaaaaaaaa. hapo atakuwa anamjaribu kuona kama msisimuko umekwisha
  3. Mapolomoko

    Majambazi yanatamba yatakavyo wilaya ya Biharamulo

    Inasemekana Mkurugenzi wa shilika la SHIDEFA anahusilka. kwani ni mtuhumiwa wa sikunyingi na siku hiyo alikuwa ktk duka la jamaa mmojawapo kati ya walio vamiwa mpaka wakati wa kufunga kumbe alikuwa anaangalia mauzo na keshoyake akasafiri . tunajua kafanya hivyo kuhadaa uma
  4. Mapolomoko

    Wananchi wamwomba Kikwete amtimue DC Biharamulo

    Usitumie masaburi kufikiri.
  5. Mapolomoko

    Nahitaji kujifunza uchawi, wapi ninaweza kutimiza lengo langu?

    Shikamooo jinalako linatisha mpaka nimekusarimia
  6. Mapolomoko

    Je mkoani kwenu zipo na zinaitwaje?

    Acha zarau hauwezi kunikumbusha kwa picha tu. nitumie harakasana kabra sijakuroga. hahahahaaaaaa nataniatu mjomba, nikipata nauri kijijini nitazifuata ieeeee mjomba ie.
  7. Mapolomoko

    Majambazi yanatamba yatakavyo wilaya ya Biharamulo

    mjini mtaa wa stendi, mtaa wa majengo B, nyamahanga na katoke
  8. Mapolomoko

    Majambazi yanatamba yatakavyo wilaya ya Biharamulo

    Tunaomba IGP aongeze nguvu, vijana wake wameshindwa. Kwa juma moja wameshavamia nyumba zaidi ya tano. Wananchi tunaishi kwa hofu kwani ni mara ya kwanza kuvamia mjini.
  9. Mapolomoko

    Unafikiri jamaa anacheza nyimbo gani hapa?

    naunga mkono hoja
  10. Mapolomoko

    Riwaya: Chokoraa

    tupe mambo
  11. Mapolomoko

    Aibu: Shyrose Bhanji azua tafrani ziara ya EALA

    Kwani hao ulio wataja walikuwa wanamula ngozi bure?
  12. Mapolomoko

    Ukuzaji maumbile ya kiume

    Huyo alikuwa kazoeshwa bororoni kubwa
  13. Mapolomoko

    Makato ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa Maabara za Sekondari

    wakatwe tu. tumechoka. shinyanga Sungusungu waliwalazimisha mgome mkalalamika. tatizo la walimu wengi wao ni watoto wa masikini
  14. Mapolomoko

    Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

    Utamuelewaje changu doa?. mpaka nawe uwe changudoa
Back
Top Bottom