Inasemekana Mkurugenzi wa shilika la SHIDEFA anahusilka. kwani ni mtuhumiwa wa sikunyingi na siku hiyo alikuwa ktk duka la jamaa mmojawapo kati ya walio vamiwa mpaka wakati wa kufunga kumbe alikuwa anaangalia mauzo na keshoyake akasafiri
. tunajua kafanya hivyo kuhadaa uma
Tunaomba IGP aongeze nguvu, vijana wake wameshindwa. Kwa juma moja wameshavamia nyumba zaidi ya tano. Wananchi tunaishi kwa hofu kwani ni mara ya kwanza kuvamia mjini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.