Mapolomoko
JF-Expert Member
- Feb 16, 2013
- 1,751
- 417
Tunaomba IGP aongeze nguvu, vijana wake wameshindwa. Kwa juma moja wameshavamia nyumba zaidi ya tano. Wananchi tunaishi kwa hofu kwani ni mara ya kwanza kuvamia mjini.
Tunaomba IGP aongeze nguvu, vijana wake wameshindwa. kwa juma moja wameshavamia nyumba zaidi ya tano. wananchi tunaishi kwa hofu. kwani ni mara ya kwanza kuvamia mjini
Tunaomba IGP aongeze nguvu, vijana wake wameshindwa. kwa juma moja wameshavamia nyumba zaidi ya tano. wananchi tunaishi kwa hofu. kwani ni mara ya kwanza kuvamia mjini
biharamulo ipi kijiji gani kata gani sio rahisi pale mjini kwenye lundo la askar wa 23 kg walio panga mjini au wao ndio majbqzi weka habari yako vizur tukusaidie
Hao majambazi waache ujinga kila siku wanawateka wavuja jasho siku nyingine wawe wanateka za Escrow.wangeteka za Escrow ingekuwa ni vema sana
mjini mtaa wa stendi, mtaa wa majengo B, nyamahanga na katoke
Hao majambazi waache ujinga kila siku wanawateka wavuja jasho siku nyingine wawe wanateka za Escrow.wangeteka za Escrow ingekuwa ni vema sana