Ni haki yake ya kimsingi kuhama na kuhamia chama anachokitaka. Ila kama ni mkweli basi atoe mchango wake katika chama anachotaka kuhamia akiwa mwanachama wa kawaida...asitafute uongozi wa juu. Hii itawapa nafasi wanachama wengine, na viongozi pia, kujua mwenendo wake na kama ni muumini wa kweli...
House maid ni profession...nenda kwenye ofis zao utapata anayejua kazi. Ukiamua kutafuta mikoani kubali yote...hapo umepata 'dada poa' aliyejifanya 'baamedi' na baadaye 'housegirl'. Pole lakini
Mheshimiwa ameathirika na mfume dume. Ingawa ni kweli kwamba hakuna mzazi au jamii inayopenda mtoto apate mimba shuleni, 'kumkomoa binti' kwa kumuondolea haki yake ya kusoma si sahihi-kwa maoni yangu. Kama ni adhabu basi itolewe kwa wote wawili (me & ke). Wito kwa wazazi, iwapo binti anakumbwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.