McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,561
Waoaji tumeisha zamani sana hawa wadogo zetu wanatafuta tu sababu kutoingia kwenye ndoa
Hahaa anazngua![]()
![]()
hata mimi nishamsoma! aje kwa id yake tu!
Akamuoe Tunda babaake si alikua mkaliKwanini umewabagua wasio na wazazi? Unadhani walipenda kuwa hivyo?
Note: Kuwa na baba mkali sio kigezo cha kuwa na adabu, kuna watu wana nidhamu ya uoga. Take care
