Recent content by Mapigomoto

  1. M

    Mhe. Rais, vitabu vya taasisi ya elimu ni vibovu kweli

    MHE. RAIS VITABU VYA TAASISI YA ELIMU NI VIBOVU KWELI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iliunda tume ya kuchunguza ubovu wa vitabu vya Taasisi ya Elimu na kwa nini ilitokea hivyo. Mhe. Rais, vitabu vya Taasisi ya Elimu kama ilivyoelezwa na kujadiliwa bungeni, vitabu hivyo ni vibovu kweli...
  2. M

    Mhe. Rais vitabu vya taasisi ya elimu ni vibovu kweli

    MHE. RAIS VITABU VYA TAASISI YA ELIMU NI VIBOVU KWELI Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi iliunda tume ya kuchunguza ubovu wa vitabu vya Taasisi ya Elimu na kwa nini ilitokea hivyo. Mhe. Rais, vitabu vya Taasisi ya Elimu kama ilivyoelezwa na kujadiliwa bungeni, vitabu hivyo ni vibovu kweli...
  3. M

    Vitabu vipya vya TIE na hatma ya Tanzania

    ADHABU ZA WALIOHARIBU VITABU VYA TAASISI YA ELIMU IANZE NA WAZIRI WA ELIMU - J. NDALICHAKO Ina maana waziri Ndalichako hakujua kilichoandikwa ndani ya hivyo vitabu vibovu? Ndalichako amekuwa akizunguka na wakuza mitaala mikoani akifungua/kufunga semina elekezi kwa waalimu namna ya kutumia vitabu...
  4. M

    Hongera Prof. Ndalichako kwa kuliona hili la vitabu vibovu vya TIE

    ADHABU ZA WALIOHARIBU VITABU VYA TAASISI YA ELIMU IANZE NA WAZIRI WA ELIMU - J. NDALICHAKO Ninashtuka kwa nini Ndalichako apongezwe? Apongezwe kwa lipi? Ina maana waziri Ndalichako hakujua kilichoandikwa ndani ya hivyo vitabu vibovu? Ndalichako amekuwa akizunguka na wakuza mitaala mikoani...
  5. M

    Taasisi ya Elimu ondoeni vitabu hivi vipya badala yake undeni utaratibu wa kutumia vitabu bora

    Makosa ni mengi mno kwa vitabu vyote. Baadhi ona hapa. ISBN 978 996 61 545 6 Kitabu cha Englis Std 3 ISBN 978 9976 61 537 7 Kitabu cha Kuhesabu Drs La 2 Anglia thread hapo juu
  6. M

    Taasisi ya Elimu ondoeni vitabu hivi vipya badala yake undeni utaratibu wa kutumia vitabu bora

    Makosa ni mengi mno kwa vitabu vyote. Baadhi ona hapa. ISBN 978 996 61 545 6 ISBN 978 9976 61 537 7 Mkuu tulia usome kwa makini na utafakari makosa ya vitabu hivyo.
  7. M

    Taasisi ya Elimu ondoeni vitabu hivi vipya badala yake undeni utaratibu wa kutumia vitabu bora

    Taasisi ya Elimu imeandika na kusambaza vitabu nchi nzima kwa ajili ya kufundishia wanafunzi darasani. Pia wanafanya semina katika mikoa mbalimbali kuelekeza walimu namna ya kutumia vitabu hivyo. Vitabu hivyo kama vipo kimkakati, vimelenga kuharibu elimu ya watoto Tanzania. Vitabu ni vibovu...
  8. M

    Mambo ya kufanya kuboresha elimu ya msingi

    Mambo muhimu yanayochangia mtoto kupata elimu, yaani : (1) ajue kusoma na kuandika, (2) hisabati msingi (3) elimu ya maarifa mbalimbali kwa maisha ya umri wake. Yafuatayo yachukuliwe kuwa ni mambo chanya kupata elimu bora: (a) vitabu bora (kiada na ziada) (b) walimu bora (c) majengo (madarasa)...
  9. M

    Mambo ya kufanya kuboresha elimu ya msingi

    Mambo muhimu yanayochangia mtoto kupata elimu, yaani : (1) ajue kusoma na kuandika, (2) hisabati msingi (3) elimu ya maarifa mbalimbali kwa maisha ya umri wake. Yafuatayo yachukuliwe kuwa ni mambo chanya kupata elimu bora: (a) vitabu bora (kiada na ziada) (b) walimu bora (c) majengo (madarasa)...
  10. M

    Mambo ya kufanya kuboresha elimu msingi

    Mambo muhimu yanayochangia mtoto kupata elimu, yaani : (1) ajue kusoma na kuandika, (2) hisabati msingi (3) elimu ya maarifa mbalimbali kwa maisha ya umri wake. Yafuatayo yachukuliwe kuwa ni mambo chanya kupata elimu bora: (a) vitabu bora (kiada na ziada) (b) walimu bora (c) majengo (madarasa)...
  11. M

    Mambo ya kufanya kuboresha elimu ya msingi

    Mambo muhimu yanayochangia mtoto kupata elimu, yaani : (1) ajue kusoma na kuandika, (2) hisabati msingi (3) elimu ya maarifa mbalimbali kwa maisha ya umri wake. Yafuatayo yachukuliwe kuwa ni mambo chanya kupata elimu bora: (a) vitabu bora (kiada na ziada) (b) walimu bora (c) majengo (madarasa)...
  12. M

    Taasisi ya elimu tanzania, siyo jukumu lenu kuandika na kutathmini vitabu

    Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) shughuli yenu ni kuhakikisha uwepo wa mitaala, mihtasari na pia ufuatiliaji wa utekelezaji wa hayo. Kwa sasa TET wanaona kuwa vitabu vilivyoko shuleni ni vibaya, basi wameamua waandike wenyewe. Walimu ni wabovu, basi waamue kufundisha wenyewe. Watathmini wa...
  13. M

    Taasisi ya Elimu Tanzania, siyo jukumu lenu kuandika na kutathmini vitabu

    Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) shughuli yenu ni kuhakikisha uwepo wa mitaala, mihtasari na pia ufuatiliaji wa utekelezaji wa hayo. Kwa sasa TET wanaona kuwa vitabu vilivyoko shuleni ni vibaya, basi wameamua waandike wenyewe. Walimu ni wabovu, basi waamue kufundisha wenyewe. Watathmini wa...
  14. M

    Elimu bora Tanzania ni zaidi ya madawati

    Viongozi wanaongea sana kuhusu madawati shuleni, pia wanajitahidi kuhakikisha kuwa yanapatikana. Vizuri sana. Je, wanafanya hivyo wakijua shule zenyewe zikoje? Kwa sasa darasa kama halina madawati, linaweza kubeba wanafunzi hata 150 waliokaa chini. Pia, wanafunzi hao watakuwa na mwalimu moja...
  15. M

    Elimu bora Tanzania ni zaidi ya Madawati

    Viongozi wanaongea sana kuhusu madawati shuleni, pia wanajitahidi kuhakikisha kuwa yanapatikana. Vizuri sana. Je, wanafanya hivyo wakijua shule zenyewe zikoje? Kwa sasa darasa kama halina madawati, linaweza kubeba wanafunzi hata 150 waliokaa chini. Pia, wanafunzi hao watakuwa na mwalimu moja...
Back
Top Bottom