Umeongea vema! Yeye kama ame-copy na ku-paste si kitu.Cha muhimu ni kutengeneza pesa tu. Duniani leo watu wanaofanikiwa ni Innovators. Hawa ni watu wanaobolesha juhudi zilizoanzishwa na creators(wavumbuzi ).Basi wengine wafanye hivyo pia.Hata hao wa majuu huchukua mambo yetu na kwenda kuyaboresha.
Nakubaliana na wewe! waandishi wetu wengi wanakuwa na hofu na maswali wanayo uliza.Kuna Mama mmoja wa CNN AMAN POUR Aliwahi kumuuliza Asad wa Siria unajisikiaje kuuwa watu kiasi hiki na akatoa picha za maiti zimetapakaa! Ukweli mpaka kiongozi huyo akashtuka.Ndivyo vitu tunataka japo si lazima...
Ukweli!jinsi anavyo hoji wageni huwa anashindwa kudhibiti hisia zake za upendeleo wake.Kuna kipindi kimoja alikuwa na mgeni ambaye misimamo yake ilikuwa inatofautiana na serikali yetu pendwa,ila mgeni huyo alikuwa na "point" cha kushanga mtangazaji akageuka serikali.Jamani tujifunze kwa...
Nakubaliana nawe kiasi,ila sikubaliani na kwamba baada ya miaka3 vyumba vitakuwa vitupu,umefanya utafiti wowote?investment yoyote huanza kwa kusuasua na itafika hatua itaimarika.Kuhusu utamaduni nalo sikubaliani nawe Mimi nimekaa mwanza najua mji huo unamchanganyiko mkubwa wa watu kwa hiyo...
Si meli tu, hata gari moshi(train) hutumia she.moja ya sababu kuu ni tabia umama kubeba mtoto ndani ya tumbo lake.kwa hiyo kwa sababu tunasafiri tukiwa ndani yake huonekana tu watoto tumboni.
Asante kwa elimu Ku root smartphone. Nikidandia Uzi,Nina Huawei ascend y600,nikiiwasha inatoa Logo tu haifiki kwenye menu, nakuanza kupata joto mpaka naamua kutoa betri.kuna wakati naibahatisha ina waka na inafika kwenye menu,ila ukigusa Apps hazifunguki japo internet inakuwepo.nimefanya hard...
Kwaheri Deo! Mmoja wa wazalendo wachache walio bakia CCM, nilipenda sana michango yako Bungeni,hakika "Wema hawana maisha".... Nukuu ya wimbo wa Balisidya .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.