Mungu uwepo wake ni kama umeme katika mifumo ya nguvu, huwezi kuona voltage and current kwa macho .Bali tunaona matokeo mfano.Ukiwasha taa unachoona ni mwanga .Mungu uwepo wake huthibitika katika matokeo na michakato .
Ukitemea Mate hata kama amekutegea huko Chini Panateguka . Ukimaliza kula tia kijiko ndani ya Mboga lazima pachache
Mate ni Bidhaa Bora sana kuwa nayo Binadamu
Naanzia ,SAA 6 MCHANA Chai nzito ya Maziwa na msosi wowote Ugali kisamvu. namalizia Saa 1 Jioni na mlo wa Jioni na half plate ya matunda .
Nakula mara 2 kwa siku + 3Afya chupa 3 kuanzia Asubuhi.
Kuna Baadhi ya Majukumu kwa hawa mama zetu inabidi tuingilie kati tu. la si Hivyo Chombo kinazama huku Mapambio yakikolezwa na Muimbishaji. No . 50/50 .at all.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.