Kuna jirani yangu mgambo kanimegea siri ya jw kukagua nguo zao mtaani kuwa ni mbinu ya kuichukua nchi kama wanavyofanya wenzao wa gaboni,Mali na Burkina Faso.wameona huyu mkizimkazi nchi anaipeleka korongoni
Jeshi kwa sasa limekuwa la hovyo sana .siasa imekithili jeshini.wanaacha kushughulika na waharibifu wa maliasili kama wale wanaoingia mikataba ambayo mashariti yake ni kichaa tu atakayekubali(mkataba wa bandari).kuna haja ya kuwapeleka afrika magharibi ili kuwapa uzoefu namna ya kuwashughulikia...
Hili kongamanao limekula pesa za umma tu na faida hamna.changamoto za kilimo zinajulikana haihitaji hata kufanya kongamano.tunakiongozi mpenda makongamano
Sent using Jamii Forums mobile app
Umachachari unatokana na kiranja wao(namba moja)kama ni machachari na mawaziri lazima watapatikana machachari lakini kiranja wao akiwa amalala fofofo na wao watalala hivyohivyo
Huyu maharage alitukera sana wtz kusema si busara kushusha bei ya umeme hata kama mradi wa JNHEP wenye mg2215 kukamilika.kama hawataki kushusha bei ya umeme sasa huo mradi utakuwa na faida gani?.shusha bei ili wateja wawe wengi na uzalishaji viwandani uwe nafuu na kupelekea unafuu wa maisha kwa...
Nakubaliana na were kabisa.kwanza afrika hakujawahi kutokea mwanamke akagombea urais akashinda isipokuwa mazingira huwa yanawafanya kuupata urais kwa mseleleko(wa kurithi) Joyce banda wa Malawi alirithi baada ya rais kufariki na hivyohivyo na hapa Tanzania.wtz tumejionea awamu ambayo nchi yetu...
Kwa tanzania inawezekana kabisa kwa sababu sheria huwa zinapindishwa.chawa wake wataanza kusemarais anaruhusiwa kuchagua yeyote na kauri ya rais wa tz ni sheria
Makabe,msakuzi,misumi,mpigi magoe,kwa lubaba n.k.haya maeneo hayajaungwa maji miaka 62 sasa ya uhuru.mvua ikinyesha ndo wanapata maji.watu wa maeneo haya washukuru tu kwa kuwa mvua hua inanyesha mara moja moja hata kipindi cha kiangazi.kila siku aweso nasifiwa wakati utendaji kazi wake ni sifuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.