Recent content by Mapango ya Amboni

  1. M

    Visa vya kweli: Siri za kujamiiana katika koo

    Tuondolee ujinga wako hapa. Wadigo hatuko hivyo, wala hakuna wadigo maeneo ya Amani huko Muheza kama ulivyodai.
  2. M

    Rais Magufuli azungumza kwa simu na Kansela wa Ujerumani Mhe. Angela Merkel

    Angalau nimepata quote inayoeleza vinginevyo. Sisi wengine si washabiki wa vyama vya siasa lakini tumeshaona na kusikia nchi nyingine zikitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa viongozi wao wameongea kwa simu na kiongozi wa nchi fulani. Hivyo si jambo la kushangaza. Tusiwaone Watanzania...
  3. M

    Hivi hii kweli au picha

    Kampuni inayo andika lugha ya namna hii `you have get `, many applicant are`... repeat again na `so as` nyingi hivyo katika sentensi moja itoshe kukuthibitishia kuwa hapo hakuna uhalisia. Shtuka ndugu. Usidhani ni fursa huenda wewe ndiwe fursa yenyewe kwao.
  4. M

    Ndege Mpya Airbus A220-300 Kutua uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Jijini Dar, jumapili

    Hizi sifa sasa khaah! Yaani ndani ya muda mfupi tu midege ya kisasa halafu mipya inaingia tu na kumilikiwa na Tanzania?! Sasa kwa sie tusiopendezwa na haya maendeleo mnatuachia kipi cha kukosoa? Aah kwanza jidege lenyewe limepakwa rangi ya chokaa kama geto kwangu tu! (Daah anagalau nimepata cha...
  5. M

    Viwango vya TBS kwenye ukubwa wa matofali

    Thanks kwa quote mkuu, ingawa post ni ya muda mrefu sana:D
  6. M

    Uwanja wa taifa kuandikwa "Tanzania National Main Stadium" ni sahihi katika sarufi(grammar) ya kiingereza?

    Bila shaka kuna kukosea kwa aina nyingi. Hivi mkuu "kukumbula" ndio kufanya nini huko? Natumaini huna kawaida ya kukosea:D
  7. M

    Upanuzi wa barabara ya Morogoro

    Nini ukuu wa wilaya. Njoo kwangu nikupe uwaziri wa mambo ya ndani:D kabisa.
  8. M

    Serikali ya Tanzania imenunua Meli kubwa 5 za uvuvi katika bahari kuu

    Iwapo habari hii ni ya kweli; sina zaidi ya kusema `Hongera serikali yetu`. Hivi ni miongoni mwa vitu muhimu katika uchumi.
  9. M

    Watumishi wa Serikali waliopandishwa vyeo 2015/16 sasa kusomeka kuwa wamepanda vyeo tarehe 01 Aprili 2018

    Ndiooo! Si unatujua sisi ni wazee wa ndioo tu mkuu? Na ikitokea mh. akabatilisha waraka huo tunageuka nyuzi 180 na kumsifu kweli kweli kama vile hatukuusapoti kwa nguvu zote. Hivi bado hujatujua tu mkuu?:):D. Duuh kumbe mi sio mbunge wa CCM! Sorry niljihisi mbunge tajwa ghafla.:D
  10. M

    Mecca ndio mji bora duniani

    Nadhani Mtume alizikwa Madina na sio Mecca.
  11. M

    Waziri Mpango: Ubinafsishaji wa Airtel kutoka TTCL, uligubikwa na ukiukwaji mkubwa wa Sheria, Kanuni na Taratibu

    Mkuu na mimi hilo nimeliona na nilitaka kulisema pia. Au labda kwa kuwa ni nukuu ya alichosema mzungumzaji, ndiyo sababu wakalitumia kama lilivyosemwa!
  12. M

    Jumamosi nitahamia kwenye nyumba ambayo sijaizindika

    Fursa hii! `Ninazindika nyumba na kuwezesha wenye nyumba kuhama asubuhi`. Bei ni shilingi laki mbili tu plus VAT. Njoo pm. Kuuliza swali elfu kumi. Wahi mapema zindiko limebaki chache saana!:(:D Note: Hivi wadau kwa tangazo hili naweza kula vichwa kwelii? Kuna Watz wanaweza kuingia mkenge...
  13. M

    MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

    Hongera kwa kufanya kilimo na kutuhabarisha. Wanasema jembe halimtupi mtu. Safi sana kuleta mrejesho ili wengine nasi tujitathmini.
Back
Top Bottom