Recent content by mapajero

  1. mapajero

    JamiiForums Tanzania Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Tafuta dawa inaitwa acrason original itakusaidia mm nlikua na chunusi za kufa raia but since nlipotumia hiyo dawa sina chunusi mpk leo..!
  2. mapajero

    JamiiForums Tanzania Hoja ya kutokula nyama siku ya ijumaa kuu inatoka wapi?

    Hii si kwel if at all unaujua ukatoliki vizur...! Hakuna sheria ya kanisa inayokataza kula nyama kila ijumaa isipokua ijumaa kuu...!
  3. mapajero

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kuziba mkojo kwa wanaume

    Unatumia mtandao pendwa?? 071...
  4. mapajero

    JamiiForums Tanzania Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

    Very true joanah
  5. mapajero

    JamiiForums Tanzania Yamenikuta; Sijui nifanye nini?

    Je ulimpatia mapenz yakutosha au ulimpotezea ??? Jichunguze kwanza ww coz mwanamke mpaka achepuke lazma mume anazingua....
  6. mapajero

    JamiiForums Tanzania UDOM wanatoa lini?

    Haiwez kua tarehe 16 lazma process za kuchagua zifanyike so matokeo kutoka si chini ya tarehe 25
  7. mapajero

    JamiiForums Tanzania UDOM wanatoa lini?

    Application udom bado zinaendelea hawez kutoa majibu leo mpk wamalike applications
  8. mapajero

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu na Zitto mje mtuambie ukweli juu ya mshahara wa rais

    mimi nadhan magu yuko sahihi kusema kua mshahara wake ni mil 9.5 but haimaanishi kua kila mwisho wa mwezi anapokea mil 9.5....experience yangu basic salary kwa vigogo weng hata wakuu wa taasisihuwa za kawaida ila gross salary ndo inakua ndefu....so magu atuambie gross salary yake ni...
  9. mapajero

    JamiiForums Tanzania CRDB Mkopo wanaiba au ndio halali?

    Usijal aise...mimi walirudisha
  10. mapajero

    JamiiForums Tanzania CRDB Mkopo wanaiba au ndio halali?

    Hapana kama hazina wakikata this month bas kabla ya tarehe 4 crdb huwa wanarudisha pesa yako kwny account yako...wala usipate strec chief....
  11. mapajero

    JamiiForums Tanzania CRDB Mkopo wanaiba au ndio halali?

    Mshahara unalipwa na hazina??? If yes bas crdb huwa wanakata marejesho ya mwezi husika kama mkopo wako umepitishwa baada ya tarehe 7 ya kila mwez...this is because payroll ya serikal inafungungwa baada ya tarehe 7...
  12. mapajero

    JamiiForums Tanzania Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Pole sn TrapQueen.....sina ujuz na tiba yake bt ninachokijua ni kwamba yy ameacha kujishughulisha na pornography??pia anamepata ushaur wa daktar wakueleweka???tiba ya hayo maradh inategemea sn na response ya mgojwa ...
  13. mapajero

    JamiiForums Tanzania Naweza kumuoa huyu?

    Its the smart move mkuu....
  14. mapajero

    JamiiForums Tanzania Naweza kumuoa huyu?

    Mkuu tumia akili na si moyo au hisia zako...huo ni mkataba mbovu piga chini coz alishakusalit in the first place huna haja yakurudiana nae...kwa mtazamo mwingine huyo ni opportunist ..
Back
Top Bottom