"Ndani ya lisaa limoja"
Amerudi nyang'anyang'a...
Asante kwa story...
Mungu akuzidishie ubunifu.
Aliwe kimya kimya ila nisijue nikijua ndyo ticket yake hiyoAmen amen nawaambieni kuwa tatizo ni hizi whatsapp,facebook,JF!......watu wetu wanaliwa kimyakimya bila ya sisi kujua!!
![]()
Yaani jambo kubwa kama hilo anavyosimulia kispoti spoti...Umeona eeeh yani huu ni uongo uliotukuka, mambo ya humu jaman

Pole sana. Hizo ndo zinaitwa ajali kazini, tafuta suluhu kupitia kwa wanandugu wenu wa pande zote na akubali kuwa amekosa.
Na probability ya yeye kurudia ni kubwa sanaBinafsi naamini kama mtu kacheat kwa mara ya kwanza,zipo possibility kuwa alishacheat hapo kabla ila hukujua ama atacheat siku za mbele
Muasili haachi asili
Fuata moyo na busara zako
It seems your brother deep down love this woman, if it was that easy he could have done that since then.Brother... just let her go...
Amekuabisha vibaya sana...
In short mwanamke anayecheat mara nyingi kuna vitu amekosa kwa mumeNa probability ya yeye kurudia ni kubwa sana
Wewe ni "plofeshno" Hahahaha. Hizi statement zinatolewa na wabobezi tu!!!Siku ya Christmas na new year kwa anaechepuka ni ujinga. Kuna siku nyingi sana za kufanya hayo mambo lakini siyo siku ya sikukuu kama hizo
Ila nyie mkifumaniwa mkuu msameheweKama unaweza kusahau, na amejutia sio issue, msamehe muendelee.
Binafsi mke akijaribu kuniua na ikashindikana, naweza kusikiliza sababu zake na kumsamehe pengine kama zina msingi. Ila kamwe siwezi kusamehe sababu za kuwa cheated.



dah