Naweza kumuoa huyu?

Naweza kumuoa huyu?

Tafuta mwingine ila uoe mapema, eeeh more than five years unajipigia tu mtoto wa mwenzio!!!!


Yaan eva ungejua watoto wa huku kuja kumpata wife material inachukua muda... dah cjui ntafanya nn
 
Mkuu tumia akili na si moyo au hisia zako...huo ni mkataba mbovu piga chini coz alishakusalit in the first place huna haja yakurudiana nae...kwa mtazamo mwingine huyo ni opportunist ..
 
Wife material unamtengeneza mwenyewe, we unataka ready made teh

hata saiv kwa kuwa nimeconfess humu, nadeclare nitamtafuta mwingine kiukwel roho inaniuma jinsi anavyomfanyia jamaa nikawa nafikiria hata nikimuoa na mm atanifanyia hiv... yaan wanawake dah... na mm ujinga nilioufanya.. ctakuja kurudia...

ahsante Eva nitampata tu wa kumuoa Mungu anisamehe kwa hii dhambi...
 
Mkuu tumia akili na si moyo au hisia zako...huo ni mkataba mbovu piga chini coz alishakusalit in the first place huna haja yakurudiana nae...kwa mtazamo mwingine huyo ni opportunist ..

Nakushukru sana mkuu unajua mapenz ni kitu cha ajabu sasa nishawaelewa watu wangu, hata leo alikuwa anataka aje hapa lkn nimemgomea nitaanza mdogomdogo at the end of the day ntakuwa nshamuacha completly
 
Huyo hakufai! Anaona kashaharibu ndo anataka arud kwako. Inaelekea anayeishi nae pia hajajipanga na ndo maana hajaenda kwao wanaishi tu ili kulea mtoto. Jipange tu upya.
 
aisee kweli kupenda ni sawa na upofu. Upofu(upendo,ujinga) ulionao umekufumba usione uchafu wake wote. Huyo hakufai na kama anaendelea kukusumbua, waswahili wanasema dawa ya mwanamke ni mwanamke mwenzake.
 
Ndugu achana na huyu mke wa mtu. Hata kama hajatambulishwa si mke wako. Muombe Mungu akupe mke wako ambaye ni mwaminifu na mtiifu ambaye mtakuwa pmj mpaka kifo kiwatenganishe. Mungu akubariki.
 
hata saiv kwa kuwa nimeconfess humu, nadeclare nitamtafuta mwingine kiukwel roho inaniuma jinsi anavyomfanyia jamaa nikawa nafikiria hata nikimuoa na mm atanifanyia hiv... yaan wanawake dah... na mm ujinga nilioufanya.. ctakuja kurudia...

ahsante Eva nitampata tu wa kumuoa Mungu anisamehe kwa hii dhambi...
Ngoja nikutafutie hata kabinamu kangu kakupote mtima
 
Ngoja nikutafutie hata kabinamu kangu kakupote mtima

Hahahahaha ako ka binamu hata ckajui c yatakuwa yaleyale...
nitakushukru ukifanya hivo maana nikifanikiwa kutoka katika hiki kifungo itakuwa great
 
Ndugu achana na huyu mke wa mtu. Hata kama hajatambulishwa si mke wako. Muombe Mungu akupe mke wako ambaye ni mwaminifu na mtiifu ambaye mtakuwa pmj mpaka kifo kiwatenganishe. Mungu akubariki.


Mapenzi taabu sana kaka yaani mtanisamehe bure ndg zangu, nampenda huyo dada utafkr nimewekewa dawa sasa bas imetosha. Kesho nitaenda kuomba kwa ajir hiyo niondokane na pepo lililokuwa limenishikilia
 
Dah! Aisee! Hivi una umri gani mkuu!
Yaan sijui akili yako ikoje, hili nalo la kuomba ushauri
 
mkuu unatuabisha mainjinia unashindwaje kutambua hatari ya kugonga mke wa mtu.
 
Back
Top Bottom